Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma, Elewa, kariri...Jamani wakuu semeni mbinu mlizotumia mpaka mkafaulu division one au two
Asant san mkuuSoma, Elewa, kariri...
Ndy naihitajUnataka kuipata ama?
Hongera yakoBahati tu
Hongera sanaSikuwa nasoma ili nipate Div 1 au ni faulu. Ila nilikuwa nasoma ili nijue mambo. Na enjoy kufahamu mambo kwa undani.
So tangu form one utaratibu wangu ulikuwa ni kusoma vitabu. Kila topic nilikuwa naisoma kwenye vitabu vi tatu tofauti then najibu maswali yote yaliyo mwisho wa chapter.
After class nilikuwa naenda library ya mkoa nasoma saa 9 hadi wanapofunga. Siku za likizo nilikuwa naenda asubuhi hadi jioni.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wangu tangu form one hadi namaliza masters.
CongratulationsSikuwa nasoma ili nipate Div 1 au ni faulu. Ila nilikuwa nasoma ili nijue mambo. Na enjoy kufahamu mambo kwa undani.
So tangu form one utaratibu wangu ulikuwa ni kusoma vitabu. Kila topic nilikuwa naisoma kwenye vitabu vi tatu tofauti then najibu maswali yote yaliyo mwisho wa chapter.
After class nilikuwa naenda library ya mkoa nasoma saa 9 hadi wanapofunga. Siku za likizo nilikuwa naenda asubuhi hadi jioni.
Huo ndo ulikuwa utaratibu wangu tangu form one hadi namaliza masters.
Me nishajarib lkn ilikuwa work done is equal to zeroKuweka miguu kwenye beseni la Maji Usiku kucha.
Hongera yakoMazoezi ya kurefusha shingo hasa kwa kwenda gymcana kucheza basketball wakati huo ni mfupi Kama pipa la lami .
Na mwisho kuyapa macho mazoezi ya kuona mbali basi nikajikuta kipanga miongoni mwa vipanga ,kwa ufupi ni CHABO tu kaka
nikiwa na mawakili wasomi akini measipu huko pwani ilikua ni kusoma kama bundi gentleman,Jamani wakuu semeni mbinu mlizotumia mpaka mkafaulu division one au two
Tatizo ulikuwa unafanya hivyo huku ukimuwaza "Ashura".Me nishajarib lkn ilikuwa work done is equal to zero
Expert member advice😄Mazoezi ya kurefusha shingo hasa kwa kwenda gymcana kucheza basketball wakati huo ni mfupi Kama pipa la lami .
Na mwisho kuyapa macho mazoezi ya kuona mbali basi nikajikuta kipanga miongoni mwa vipanga ,kwa ufupi ni CHABO tu kaka
Hongera yenunikiwa na mawakili wasomi akini measipu huko pwani ilikua ni kusoma kama bundi gentleman,
Tulikua 33 wawili pekee walipata division 2, wengine wote tulipiga division 1🐒