Hujasema soko la nini!???
Kwanza wakati unaanza biashara yako unapaswa kuwatambua potential customer's wako
Then Fanya namna uwafikie hao clients wako uwanadie bidhaa yako
Soko hutegemea na aina ya product mazes na targeted customer's
Itambulishe bidhaa
Fanya uchunguzi wa competitive price
Zingatia hizi Five P kwenye soko la bidhaa zako.
Place unauzia mahali sahihi? Usije uza kitimoto karibu na msikiti au unaweka bar maeneo ya kanisa
Promotion hapa je umewajulisha wateja juu ya bidhaa yako au umeweka tu hakuna matangazo yoyote
Products je bidhaa inahitajika? Ina ubora na viwngo vya kukidhi sokon? Usituuzie nguo wakati hatuna mitoko
People hapa watu wakufanya kkazi yako ni watu sahihi? Wana skills za kuvuta wateja? Professional? Committed?
Price hapa bei ya bidhaa ni affordable?