Elections 2010 Mbinu mpya ya ushindi

Elections 2010 Mbinu mpya ya ushindi

dengeru

Member
Joined
Oct 1, 2009
Posts
52
Reaction score
7
Ni mkakati wa CCM kuhakikisha watu hawapati elimu ya uraia hasa viijini,na wanatumia njia hiyo kushinda changuzi mbalimbali.Naomba tutumie njia mbadala kuhakikisha watu wetu walio vijijini hawaichagui CCM(wakiwapa hela wale na wasiwachague)..naomba kila mtu alie mjiji awapigie simu ndugu zake wote walio vijijini wasiichague CCM mwaka huu,naamii sisi watu wa mjini tunasikilizwa sana na ndugu zetu waliovijijini ukizingatia ndio tunaowatunza...hakikisha baba,mama,kaka,dada,mjomba,shangazi,babu na bibi wote unawapa ujube huu,WACHAGUE CHADEMA na sio TLP
pamoja tutashinda
 
Ama kwa wale wafanyakazi wa Serikali waliotukanwa na JK, wafanyabiashara wa mijini na hata walipo ughaibuni na ambao hawamo kabisa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura, waweke mikakati ya kutoa vikwazo vya kiuchumi na kusitisha misaada kwa ndugu zao wanaowategemea iwapo wataichagua tena CCM kwani kufanya hivyo itakuwa ni kujitakia shida kwa zaidi ya miaka 40 tokea uhuru.
 
Back
Top Bottom