Mbinu rahisi ya kutoa maji yakikuingia sikioni ukiwa unaoga ni ipi?!

Mbinu rahisi ya kutoa maji yakikuingia sikioni ukiwa unaoga ni ipi?!

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,273
Naomba mnisaidie wana JF, ni namna gani natoa maji yaliyoingia sikioni?

Kwa waliopatwa na karaha hii nadhani watakubaliana nami jinsi gani inasumbua saa nyingine... maana mtu unazungurusha kichwa weee, wapi..... na ukigonga-gonga kichwa unakikia kinalia kama kopo la blueband.

Nisaidieni tafadhali!!!
 
Naomba mnisaidie wana JF, ni namna gani natoa maji yaliyoingia sikioni?

Kwa waliopatwa na karaha hii nadhani watakubaliana nami jinsi gani inasumbua saa nyingine... maana mtu unazungurusha kichwa weee, wapi..... na ukigonga-gonga kichwa unakikia kinalia kama kopo la blueband.

Nisaidieni tafadhari!!!

Mimi mbinu niitumiayo japo siyo scientific inasaidia sana na inanifaa.

Kama maji yameingia sikio la kulia mathalan, basi wewe weka maji ya kutosha kiganja cha kulia kisha tilt kichwa chako kilalie zaidi kushoto halafu weka yale maji ya kiganjani sikio hilo la kulia haraka na kukirudisha kiinamie kulia ...hiki kiwe kitendo cha haraka utashangaa maji yale yatakavyotoka upesi!
 
Mimi mbinu niitumiayo japo siyo scientific inasaidia sana na inanifaa.
Kama maji yameingia sikio la kulia mathalan, basi wewe weka maji ya kutosha kiganja cha kulia kisha tilt kichwa chako kilalie zaidi kushoto halafu weka yale maji ya kiganjani sikio hilo la kulia haraka na kukirudisha kiinamie kulia ...hiki kiwe kitendo cha haraka utashangaa maji yale yatakavyotoka upesi!

Shukrani WoS, nitaitumia hii mbinu walau mara moja kwanza kujaribishia. Unajua maumbile ya masikio yetu naamini yanatofautiana, kuna watu wengine naona hawapatwi na mkasa kama huu mara kwa mara labda kutokana na maumbile yao.
 
Mimi mbinu niitumiayo japo siyo scientific inasaidia sana na inanifaa.
Kama maji yameingia sikio la kulia mathalan, basi wewe weka maji ya kutosha kiganja cha kulia kisha tilt kichwa chako kilalie zaidi kushoto halafu weka yale maji ya kiganjani sikio hilo la kulia haraka na kukirudisha kiinamie kulia ...hiki kiwe kitendo cha haraka utashangaa maji yale yatakavyotoka upesi!

may be i explain the mechanism!
kuna kitu kinaitwa COHESION FORCE,the force of attraction between two molecules of the same nature.ukiyaweka yale maji kwenye sikio linalokusumbua,yanaungana na maji yaliyoko ndani ya sikio,na pindi unapoturn opposite,yatatoka yoooote,sababu yatakuwa yameungana (maji ya ndani ya sikio na yale ya kiganjani kwa COHESION FORCE
 
Kacheze mpira, wala hutajua lini yalitoka......
 
Naomba mnisaidie wana JF, ni namna gani natoa maji yaliyoingia sikioni?

Kwa waliopatwa na karaha hii nadhani watakubaliana nami jinsi gani inasumbua saa nyingine... maana mtu unazungurusha kichwa weee, wapi..... na ukigonga-gonga kichwa unakikia kinalia kama kopo la blueband.

Nisaidieni tafadhari!!!

Mara nyingi maji yakiingia sikioni unakuwa concerned na kuhangaika kuyatoa. Mimi huna najaribu kurelax na kusahau kama maji yapo sikioni.

Baada ya dakika kama 5 hivi za kurelax huwa yanatoka. Btw, kuna raha fulani hivi huwa nahisi yakiwa yanatoka🙂!
 
may be i explain the mechanism!
kuna kitu kinaitwa COHESION FORCE,the force of attraction between two molecules of the same nature.ukiyaweka yale maji kwenye sikio linalokusumbua,yanaungana na maji yaliyoko ndani ya sikio,na pindi unapoturn opposite,yatatoka yoooote,sababu yatakuwa yameungana (maji ya ndani ya sikio na yale ya kiganjani kwa COHESION FORCE

Thanks Geoff!
So my mbinu is scientific afterall LOL!
 
Shukrani WoS, nitaitumia hii mbinu walau mara moja kwanza kujaribishia. Unajua maumbile ya masikio yetu naamini yanatofautiana, kuna watu wengine naona hawapatwi na mkasa kama huu mara kwa mara labda kutokana na maumbile yao.
Sawa Mkuu,
Uitumie mara maji yanapoingia wakati unaoga..usisubiri hadi yakae muda ndipo uyatoe.
 
tafuna big j au bazoka meza mate kwa nguvu utasikia kinacho tokea sikioni au hata meza tu mate kwa nguvu hiyo ni dawa pekee
 
Back
Top Bottom