Mbinu ya kumpata mwanamke umtakae

Mbinu ya kumpata mwanamke umtakae

Llio 002

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
1,636
Reaction score
2,053
MBINU YA KUMPATA

Tafiti zinaonesha kwamba, muuzaji(Mfanya Biashara) yeyote akipata mteja atakayeonesha kuhitaji/kuvutiwa na bidhaa zake, alafu ghafla mteja huyo akahamia kwa muuzaji mwingine, basi yule muuzaji wa kwanza ataanza kuona wivu na kujuta kwa kumpoteza mteja huyo.

Ila sasa endapo yule mteja atarudi kwa muuzaji wa kwanza, basi tafiti zinaonesha kwamba muuzaji yule atamjali na kumzingatia ili mteja huyo asiondoke tena, na kama haitoshi muuzaji huyo anaweza kulazimika kumuuzia mteja bidhaa yake kwa bei ya punguzo ili tuu kuhakikisha anau-win moyo wa mteja.

Sasa hii kitu kitaalam inaitwa "Attention Shifting", kwamba hata unapomtaka mwanamke, basi cha kufanya kwanza mfuate kisha mfanye afurahi na kuifurahia company yako kisha baada ya muda ile attention yako hamishia kwa rafiki yake, hii itamjaza wivu na kumfanya aanze kujiuliza maswali mfano [emoji116]

"nimekosea nini mpaka kaenda kwa rafiki angu, ina maana rafiki yangu ni mzuri/ana mvuto kunizidi".

Hali hii itamuingiza mwanamke huyo katika competition kati yake na huyo rafiki yake, na endapo ukirudisha ile attention yako kwake, basi itamfanya aanze kujihisi kama anatakiwa kufanya kitu cha ziada ili kukutunza na kukulinda usiondoke.

Bro, ukiweza kutengemeza competition kati ya wanawake wawili, basi amini kwamba ume-win game kirahisi sana.

FB_IMG_1674846157188.jpg
 
MBINU YA KUMPATA

Tafiti zinaonesha kwamba, muuzaji(Mfanya Biashara) yeyote akipata mteja atakayeonesha kuhitaji/kuvutiwa na bidhaa zake, alafu ghafla mteja huyo akahamia kwa muuzaji mwingine, basi yule muuzaji wa kwanza ataanza kuona wivu na kujuta kwa kumpoteza mteja huyo.

Ila sasa endapo yule mteja atarudi kwa muuzaji wa kwanza, basi tafiti zinaonesha kwamba muuzaji yule atamjali na kumzingatia ili mteja huyo asiondoke tena, na kama haitoshi muuzaji huyo anaweza kulazimika kumuuzia mteja bidhaa yake kwa bei ya punguzo ili tuu kuhakikisha anau-win MOYO wa mteja.

Sasa hii kitu kitaalam inaitwa "Attention Shifting", kwamba hata unapomtaka MWANAMKE, basi cha kufanya kwanza mfuate kisha mfanye afurahi na kuifurahia company yako kisha baada ya muda ile attention yako hamishia kwa rafiki yake, hii itamjaza wivu na kumfanya aanze kujiuliza maswali mfano [emoji116]

"nimekosea nini mpaka kaenda kwa rafiki angu, ina maana rafiki yangu ni mzuri/ana mvuto kunizidi".

Hali hii itamuingiza MWANAMKE huyo katika COMPETITION kati yake na huyo rafiki yake, na endapo ukirudisha ile attention yako kwake, basi itamfanya aanze kujihisi kama anatakiwa kufanya kitu cha ziada ili KUKUTUNZA na KUKULINDA usiondoke.

Bro, ukiweza kutengemeza COMPETITION kati ya WANAWAKE wawili, basi amini kwamba ume-win game kirahisi sana.View attachment 2497634
Kmbe ndo ipo hvo
 
MBINU YA KUMPATA

Tafiti zinaonesha kwamba, muuzaji(Mfanya Biashara) yeyote akipata mteja atakayeonesha kuhitaji/kuvutiwa na bidhaa zake, alafu ghafla mteja huyo akahamia kwa muuzaji mwingine, basi yule muuzaji wa kwanza ataanza kuona wivu na kujuta kwa kumpoteza mteja huyo.

Ila sasa endapo yule mteja atarudi kwa muuzaji wa kwanza, basi tafiti zinaonesha kwamba muuzaji yule atamjali na kumzingatia ili mteja huyo asiondoke tena, na kama haitoshi muuzaji huyo anaweza kulazimika kumuuzia mteja bidhaa yake kwa bei ya punguzo ili tuu kuhakikisha anau-win MOYO wa mteja.

Sasa hii kitu kitaalam inaitwa "Attention Shifting", kwamba hata unapomtaka MWANAMKE, basi cha kufanya kwanza mfuate kisha mfanye afurahi na kuifurahia company yako kisha baada ya muda ile attention yako hamishia kwa rafiki yake, hii itamjaza wivu na kumfanya aanze kujiuliza maswali mfano [emoji116]

"nimekosea nini mpaka kaenda kwa rafiki angu, ina maana rafiki yangu ni mzuri/ana mvuto kunizidi".

Hali hii itamuingiza MWANAMKE huyo katika COMPETITION kati yake na huyo rafiki yake, na endapo ukirudisha ile attention yako kwake, basi itamfanya aanze kujihisi kama anatakiwa kufanya kitu cha ziada ili KUKUTUNZA na KUKULINDA usiondoke.

Bro, ukiweza kutengemeza COMPETITION kati ya WANAWAKE wawili, basi amini kwamba ume-win game kirahisi sana.View attachment 2497634
Yote kwa yote

Kizuri chajiuza

Kibaya chaji......
 
na kuna wengine hatutakagi shida ndogondogo ukileta izo mambo zako za kuapply competition ndo unatupoteza mazima
 
MBINU YA KUMPATA

Tafiti zinaonesha kwamba, muuzaji(Mfanya Biashara) yeyote akipata mteja atakayeonesha kuhitaji/kuvutiwa na bidhaa zake, alafu ghafla mteja huyo akahamia kwa muuzaji mwingine, basi yule muuzaji wa kwanza ataanza kuona wivu na kujuta kwa kumpoteza mteja huyo.

Ila sasa endapo yule mteja atarudi kwa muuzaji wa kwanza, basi tafiti zinaonesha kwamba muuzaji yule atamjali na kumzingatia ili mteja huyo asiondoke tena, na kama haitoshi muuzaji huyo anaweza kulazimika kumuuzia mteja bidhaa yake kwa bei ya punguzo ili tuu kuhakikisha anau-win MOYO wa mteja.

Sasa hii kitu kitaalam inaitwa "Attention Shifting", kwamba hata unapomtaka MWANAMKE, basi cha kufanya kwanza mfuate kisha mfanye afurahi na kuifurahia company yako kisha baada ya muda ile attention yako hamishia kwa rafiki yake, hii itamjaza wivu na kumfanya aanze kujiuliza maswali mfano [emoji116]

"nimekosea nini mpaka kaenda kwa rafiki angu, ina maana rafiki yangu ni mzuri/ana mvuto kunizidi".

Hali hii itamuingiza MWANAMKE huyo katika COMPETITION kati yake na huyo rafiki yake, na endapo ukirudisha ile attention yako kwake, basi itamfanya aanze kujihisi kama anatakiwa kufanya kitu cha ziada ili KUKUTUNZA na KUKULINDA usiondoke.

Bro, ukiweza kutengemeza COMPETITION kati ya WANAWAKE wawili, basi amini kwamba ume-win game kirahisi sana.View attachment 2497634
kijana utakufa huku umesimama wima.. siku hizi hamna formula kila mtu ni kuparanganya kivyake.. utajijua huko mbele
 
MBINU YA KUMPATA

Tafiti zinaonesha kwamba, muuzaji(Mfanya Biashara) yeyote akipata mteja atakayeonesha kuhitaji/kuvutiwa na bidhaa zake, alafu ghafla mteja huyo akahamia kwa muuzaji mwingine, basi yule muuzaji wa kwanza ataanza kuona wivu na kujuta kwa kumpoteza mteja huyo.

Ila sasa endapo yule mteja atarudi kwa muuzaji wa kwanza, basi tafiti zinaonesha kwamba muuzaji yule atamjali na kumzingatia ili mteja huyo asiondoke tena, na kama haitoshi muuzaji huyo anaweza kulazimika kumuuzia mteja bidhaa yake kwa bei ya punguzo ili tuu kuhakikisha anau-win MOYO wa mteja.

Sasa hii kitu kitaalam inaitwa "Attention Shifting", kwamba hata unapomtaka MWANAMKE, basi cha kufanya kwanza mfuate kisha mfanye afurahi na kuifurahia company yako kisha baada ya muda ile attention yako hamishia kwa rafiki yake, hii itamjaza wivu na kumfanya aanze kujiuliza maswali mfano [emoji116]

"nimekosea nini mpaka kaenda kwa rafiki angu, ina maana rafiki yangu ni mzuri/ana mvuto kunizidi".

Hali hii itamuingiza MWANAMKE huyo katika COMPETITION kati yake na huyo rafiki yake, na endapo ukirudisha ile attention yako kwake, basi itamfanya aanze kujihisi kama anatakiwa kufanya kitu cha ziada ili KUKUTUNZA na KUKULINDA usiondoke.

Bro, ukiweza kutengemeza COMPETITION kati ya WANAWAKE wawili, basi amini kwamba ume-win game kirahisi sana.View attachment 2497634
Aisee uko vzr kuhusisha biashra na mambo ya wanawake ,pesa mzee Ni kila kitu

Leo jamaa ananiuliza vip ni sahih kumpa demu pesa ambaye Bado hajakutambulisha kwao

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ndo utuwekee mwanamke mwenye hereni kubwa kama rim ya TOYO
Kwanza mm nawekaje kamb na mwanamke wa hvyo eti blieach na miaereni hapa tunajificha sehemu nikimaliza show zangu namtanguliza yeye aondoke au mm nitoke walai siwez uza sura na wa hvyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bond nzuri ya kumpata mwanamke ni through face face communication tafiti zinasema Wanawake wengi wanapenda WANAUME Wanaojiamini na wanaoweza kuwa baba wazuri Kwa watoto zao ila tafiti za kibongo mapenzi pesa
 
Back
Top Bottom