Mbinu ya kupunguza uzito kwa haraka

Mbinu ya kupunguza uzito kwa haraka

tya02

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
850
Reaction score
1,061
Hello ,mambo vipi?
Natumaini wote mko salama kabia, sasa leo nimekuja na mbinu ya kupunguza uzito kwa haraka ,note hii mbinu sio health ila tuiite crush plan!kwhyo usifanye mwaka mzima usije ukaanguka.

Amka asubuhi (kama unakwenda kazin) ruka kamba mara mia tu zinakutosha, fanya zoez la tumbo mara 50 -100 kama ukiwez,tosha.
Breakfast yako-kunywa green tea flavour uipendayo though mm napendelea peppermint/lemon, usiweke sukari kabisaaa, kula na kipande cha tikitiki kama unalo au sless mbil tu za toasted brown bread kama huna toaster ukaushe kidogo kwenye kikaangio au sufuria.

Kunywa maji mengi uwezavyo mida hiyo ya katikati ukiwa unasubir lunch,
lunch kula matunda tikiti/parachich kiasi, kunywa maji meng uwezavyo, chakula cha jion chemsha yai moja, kabichi, ichemshe weka pilipil manga kidogo, kitunguu ,chumvi kidogo sana kama ukipenda kunywa hyo supu hapo utakua umeshiba.

Baada ya hapo lala kesho yake fanya hivyo hivyo mpaka kwa muda wa wiki mbili, natumai utakua umepunguza kilo kadhaa.
Pia hapo kwenye dinner unaweza badilisha kidogo sio lazima ule kabich kila siku, unaweza kula kipande cha kuku mtoe ngozi lakin.

Inaweza kuwa kidali au paja lililochemshwa na chumvi kidogo au usiweke kbsa,au samaki kipande au mzma samak.Note , usile nyama ya ng'ombe kabisa
 
Hello ,mambo vipi?
Natumaini wote mko salama kabia, sasa leo nimekuja na mbinu ya kupunguza uzito kwa haraka ,note hii mbinu sio health ila tuiite crush plan!kwhyo usifanye mwaka mzima usije ukaanguk.
Amka asubuhi(kma unakwnda kazin) ruka kamba mara mia tu zinakutosha,fanya zoez la tumbo mara 50 -100 kama ukiwez,tosha.
Breakfast yako-kunywa green tea flavour uipendayo tho mm napendelea peppermint/lemon,usiweke sukari kabisaaa,kula na kipande cha tikitiki kama unalo au sles mbil tu za toasted brown bread kama huna toaster ukaushe kdg kwny kikaangio au sufuria.
Kunywa maji mengi uwezavyo mida hyo ya katikati ukiwa unasbir lunch,lunch kula matunda tikiti/parachich kiasi,kunywa maj meng uwezavyo ,chakula cha jion chemsha yai moja, kabichi, ichemshe weka pilipil manga kdg,kitunguu ,chumv kidg sana kama ukipend kunyw hyo supu hapo utakua umeshiba.
Baad y hapo lala kesho yake fany hvy hvyo mpa kw muda wa wik mbili, natumai utakua umepunguza kilo kadhaa.
Pia hapo kwenye dinner unaweza badilisha kidg sio lzm ule kabich kila siku, unaweza kula kipande cha kuku mtoe ngozi lkin(kidali/paja lililo chemshwa na chumv kdg au usiweke kbsa,au samaki kipande au mzma samak.Note , usile nyama ya ng'ombe kabisa
Mimi nataka kuongeza uzito maana nna kilo 45 tu na huwa zinapungua mpaka 42
 
Mimi nataka kuongeza uzito maana nna kilo 45 tu na huwa zinapungua mpaka 42
Waoo watu wanatamn kupungua we unataka kuongeza!!mmhmhh
Nways kula sana vitu vya wanga,sukari na mafuta utaneepa wewe mpk utakuja hapa tena
 
Waoo watu wanatamn kupungua we unataka kuongeza!!mmhmhh
Nways kula sana vitu vya wanga,sukari na mafuta utaneepa wewe mpk utakuja hapa tena
Kwa umri nilokuwa nao huu naambiwa niongeza walau nifike Kg 50
 
Nina wasiwasi hapo kwenye kunywa juice ya kabichi mana kuna watu matumbo yetu ni kamavkichekecheo.
Unywe halafu tumbo lijae gesi au livuruge shughuli yake utasimulia mana kama si kuharisha ni mwendo wa kuachia mashuzi tu.
 
Nilale nimekula kabichi tu jamani,,, siwezi, bora kuku na samaki
Hahahaa shida n kwamba ku afford samak n kuku kila siku n issue dia haahha ndio maana tunatafuta mbadala wa rahisi
Hahaha
 
Ha ha ha ha hayo mambo ni rahis kuyasiklza ila kuyaweka kwenye uhalisia unahtaj kua na moyo wa ziada aisee.....
Asante madam ila..
 
Mazoez ndo mpango mzima....unapunguza kula sukari....unaongeza matunda na mboga....usipopungua umerogwa
 
Nina wasiwasi hapo kwenye kunywa juice ya kabichi mana kuna watu matumbo yetu ni kamavkichekecheo.
Unywe halafu tumbo lijae gesi au livuruge shughuli yake utasimulia mana kama si kuharisha ni mwendo wa kuachia mashuzi tu.
Hahahahaha kwa mashuzi na support hahaha ila huwez vurugika tumbo kama ukichemsha kabichi likaiva vizuri,
Lakin kuharish**** sometimes kuzur cz una safisha tumbo hahaha (wazaz wetu walituambia lol)
 
Back
Top Bottom