Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Njia za kienyeji ni za kutumia kuku, na zaidi ya kutumia kuku ni kutumia mashine, kuhusu mashine ni kweli ni ghari sana ila unaweza jipanga ukanunua hata ya mayai 45 au mayai 60 ambazo hazizidi laki
30000.
Mkuu ni laki 3 sio elfu 30. Mashine unatakiwa uwe na jenireta au solar, mashine zenye uwezo wa kutunza joto kwa muda mrefu ni zile kubwa ambazo nyingi hutunza kati ya masaa 4 hadi 6.Sijakuelewa hapo mkuu Chasha
Una maana ya elf 30 au?
Na kama ni hizo mashine nikiweza kununua je itakaa na umeme muda gan pindi umeme ukatikapo.
Njia za kienyeji ni za kutumia kuku, na zaidi ya kutumia kuku ni kutumia mashine, kuhusu mashine ni kweli ni ghari sana ila unaweza jipanga ukanunua hata ya mayai 45 au mayai 60 ambazo hazizidi laki 30000.
laki 30000 ndo shilingi ngapi mkuu
Mkuu ni laki 3 sio elfu 30. Mashine unatakiwa uwe na jenireta au solar, mashine zenye uwezo wa kutunza joto kwa muda mrefu ni zile kubwa ambazo nyingi hutunza kati ya masaa 4 hadi 6.
Njia nyingine ni kumtumia kuku kuangua mara mbili mfululizo,yan anapoangua mara ya kwanza unatoa vifaranga immediately kabla hajaamua kutoka navyo alafu unaweka mayai mengine,lakin angalizo uweke kwnza mayai mabovu ili ayazoee alafu ndio unaweka mazima,kwa njia hii utajikuta unatotolesha vifaranga vingi kwa muda mfupi
naomba kujua hii mashine inapatikana wapi kwa sh ngapi?
kuna njia ya kuangua vifaranga kwa njia ya kutumia pumba, majivu.......... Ukiweka kwenye ndoo either pumba au majivu yenye joto na ukaweka mayai yako juu kwa siku zile zile 21 unaweza kupata vifaranga, ila usifunike ndoo ili mayai yapate hewa na kiasi cha mwanga, hata hivyo inahihaji uangalizi mkubwa sana katika kuyageuza mayai na kubadilisha majivu au pumba yako ........
kuna njia ya kuangua vifaranga kwa njia ya kutumia pumba, majivu.......... ukiweka kwenye ndoo either pumba au majivu yenye joto na ukaweka mayai yako juu kwa siku zile zile 21 unaweza kupata vifaranga, ila usifunike ndoo ili mayai yapate hewa na kiasi cha mwanga, hata hivyo inahihaji uangalizi mkubwa sana katika kuyageuza mayai na kubadilisha majivu au pumba yako ........
mkuu@chasha kuku wangu aliatamia mayai 12 lakini cha kushangazaza alitotoa kifaranga 1 tu je ni makosa gani yaliyofanyika hapo? au ni kawaida kutokea ivyo?
Hayo mengine yalikua hayana jogoo.
mkuu@chasha kuku wangu aliatamia mayai 12 lakini cha kushangazaza alitotoa kifaranga 1 tu je ni makosa gani yaliyofanyika hapo? au ni kawaida kutokea ivyo?
mkuu@chasha kuku wangu aliatamia mayai 12 lakini cha kushangazaza alitotoa kifaranga 1 tu je ni makosa gani yaliyofanyika hapo? au ni kawaida kutokea ivyo?