mbinu za kufaulu chuoni


Du!,upo sahihi kabisa mkuu.Mjadala wote ulitakiwa uishie hapa asiwepo wa kuongeza.
 
Wakuu BAF-BS ya mzumbe,nishaurini nitai master vipi ?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Me naona kama unafahamu nini unakitafuta chuoni basi piga ua galagaza lazma ujue ni njia zipi utatumia ili upate ulichokifuata...but guys huko mavyuoni kuna lots of stuffs so cha msingi ni kukomaa...safari ni ndefu but we have no way out lets strive to the climax of it
 

yap hiyo ndo point mkuu
 
hakikisha unasoma kila siku iitwayo leo. Usisubiri mpaka ratibe ya UE ndiyo uanze kusoma utachemsha. GPA inaanza kutafutwa toka siku ya kwanza Lecturer anapojitambulisha darasani. Kuwa makini na maisha ya chuoni, maana ni mchanganyiko wa watu wa aina mbalimbali. Chuoni kuna uhuru ulio kamili, hakuna kengele wala kulazimishana kuingia darasani. Unaweza kukaa semester nzima bila kuingia darasani. Ila hakikisha unafanya Group work, Presentation za assignments, test pamoja na UE.
 

daah hapo kwenye presentations.....kpind hicho nikiwa advance nilikuwa na skip sanaaa huko chuoni inibidi nijitahidi
 
Ya mwisho not applicable alafu umeidesa kwenye 90210 hahahaa
 


Bto mij umesema la msingi...thumb up
 
Last edited by a moderator:

mzumbe,bachelor of account and finance in busines sector
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…