sir None JF-Expert Member Joined Jul 9, 2016 Posts 428 Reaction score 214 Sep 4, 2017 #81 Aisee mkuu mbona umekuja kuweka mbinu zangu hadharani Kama ulikuwa hutaki nije kwako siungenimbia mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mkuu mbona umekuja kuweka mbinu zangu hadharani Kama ulikuwa hutaki nije kwako siungenimbia mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
Priceless soul JF-Expert Member Joined Jul 4, 2017 Posts 1,484 Reaction score 1,732 Sep 22, 2017 #82 Haaaahaaa mecheka sana....... HUU SHAURI PIA UTASAIDIA KWA WAKATI WAKE
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Sep 22, 2017 #83 Vyuma vimekazwa hadi magroup ya what's up wanaleft
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,767 Sep 25, 2017 #84 Hahaha aisee
Jc Simba JF-Expert Member Joined Mar 23, 2017 Posts 300 Reaction score 423 Sep 25, 2017 #85 Hizo akili ulizotumia hapo tumia kwenye kutafuta fedha lazima utoke 100%
mshipa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2015 Posts 12,253 Reaction score 22,843 Sep 25, 2017 #86 Hizo nauli unazotumia kuzungukia watu wote hao si unanunua unga ujipikie mwenyewe
billionaire17 Member Joined Mar 31, 2017 Posts 31 Reaction score 43 Sep 25, 2017 #87 Huu ushauri, umeuandika vizuri, ila ni ushauri uliopitwa na wakati. Kwa sasa tunahitaji mawazo chanya kuliko hasi. Asiyefanya kazi na asile ni maandiko hayo yalituasa hivyo. Jaribu kuandika tena kwa uchanya zaidi
Huu ushauri, umeuandika vizuri, ila ni ushauri uliopitwa na wakati. Kwa sasa tunahitaji mawazo chanya kuliko hasi. Asiyefanya kazi na asile ni maandiko hayo yalituasa hivyo. Jaribu kuandika tena kwa uchanya zaidi
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,221 Reaction score 22,496 Sep 25, 2017 #88 mkuu una undugu na yule MATONYA OMBAOMBA nini
M MWANAKA JF-Expert Member Joined Oct 4, 2013 Posts 4,887 Reaction score 4,435 Sep 25, 2017 #89 mirisho pm said: Wewe utakuwa unatoka Dodoma sio bure.... Naihurumia familia yako Click to expand... Acha wehu huo Dodoma inahusikaje hapo Nyambafu zako kichwa kama msukuma [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
mirisho pm said: Wewe utakuwa unatoka Dodoma sio bure.... Naihurumia familia yako Click to expand... Acha wehu huo Dodoma inahusikaje hapo Nyambafu zako kichwa kama msukuma [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]