Mbinu za kukwepa vibomu vya wanawake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nmeenda zangu mahali kupunga Upepo.


Na kutaka Bidada mzuriii kakaaa mwenyewe.


Nikamsalimia, akanikaribisha...nashangaa linasemaje " Wee mwanaume banaa, mtanashati ivo, tuongee huku tunachafua meza""



Kengele ikagonga kichwan [emoji23][emoji23][emoji23]



Nikamwambia...Inamaana Kisa Mimi mwanaume ndo nitumie pesa yangu.kwako wewe niliyekutana nawewe hapa hapa, pengine unamsubiria mshikaji wako???


Nikamwambia haya, endelea kusubiria wa Kununulia, Nikainuka, nikasepa zangu


Saizi situmii hela yangu ovyo, apo alitaka nimnunulie Pombe weeee, alafu baadae anipige kiswahili au anipe mzigo.
 
Wapuuzi. Sana ....ukiona mwanamke analilia kukirimiwa muulize kwa Nini nikufanyie hivyo.....? Au umefanya Nini Hadi nikufanyie hivyo ......? Hawanaga majibu sahihi zaidi utatukanwa na kuanza kulinganishwa na vilaza wao, utasikia mwanaume gani bahili , wanaume hawapo hivyo [emoji38][emoji38]


Huu mcezo miaka hiyo naenda club unakuna na midada pale inajishaua shaua na ukitaka uikomeshe hii jifanye huioni ila unauwezo nayo
 
Kuna mmoja mwez ulopita,alinitafuta et ohoooo nimpe Laki.


Yule Manzi nilimtongozaga mwezi wa saba, akawa sitaki nataka.

Nikampotezea.

Ndo mwezi uloisha akaniomba Laki, et ana dharura.

SIKUMPA ,nikamwambia wewe uko Mkoa X, una bwanako, siwez kukupa hela yangu huku anayekutomba mwingine,namm nabakia kua Mpenzi wa simu.


Demu aliongea maneno hiyooo, utadhan alikua kanikopa, alinitukana balaa.,yaan akawa anajiita bahili, mwanaume suruali , hamna kumayabure, sijui nn

Ila sikutuma hela....nikamwambia, Kama hamna yabure nenda umuombe huyo huyo anayekutomba daily akupe hela hiyo.


Akazidisha matusi, ikabidi nmtolee uvivu, nikamtumia MWONEKANO wake ( Muone kwanza Sura mbovuu ,Umbo bayaa ) ...



Jana kanitafuta kwa fujoo, yaan ananiita baby, Mume, na mabla balaaa kama hayo.


SASA ANATAKA AJE MKOA NILIPO ANIPE MZIGO

Leo ananiambia "Kumayangu unataka ika hutaki kutuma hela"

Nikarudia mjibu.... Bora iyo hela nimpe demu nayemtomba kila kila siku, lkn sio wewe .
 

Mkuu mbona kama unatupa njia ndefu zaidi [emoji851]sasa kama upo makete huko hayo maji utaanza kumnunulia vipi na baridi hili!hizi mbinu za kivulana sana
 
Uli muwin aisee wapuuzi Sana ....uswahili mwingi Sana. Yaani ukitaka uwakomoe muoneshe tu kuwa unauwezo wa kufanya hivyo ila hutaki aisee atakupaparikia Sana . Ila Kuna mivulana inaendeshwa na wanawake Hadi huruma , yaani inaburuzwa haswa .... Utasikia inakuja kukuropokea hapa wewe toa hela ....hizo hela zinatolewa tu kizembe hivyo
 
Mkuu mbona kama unatupa njia ndefu zaidi [emoji851]sasa kama upo makete huko hayo maji utaanza kumnunulia vipi na baridi hili!hizi mbinu za kivulana sana
Hujasoma kuelewa umesoma ili ubishe . Nimekupa huo ni mfano tu ndugu yangu.

Kwa mazingira ya makete saizi wakina Dada wengi watakua wanauza Yale matunda nyanya . Basi nenda kwa Dada unae mpenda kanunue ungo wote wa Yale matunda naamini haufiki 5000 alafu mwambie muongozane Hadi kwako maana hauna Cha kubebea . Nakuambia hawezi kukataa na kwa sababu amezoea kukusanya 200 siku nzima ndio awe na 3000 Basi atakuona wewe bonge la jiniasi .....akisha fika kwako usipaparike atajua unataka kumbaka mtengenezee uaminifu kwa kuto hata mgusa ...alafu mruhusu aende alafu mwambie yakiisha haya niletee mengine namba yangu ya simu hii hapa .... Bro yeye sio fala hapa lazima aanze kufikiria namna ya kuichangamkia hiyo fursa na akisha fikia hapo Kuna Nini Tena zaidi ya kutaka kukuweka karibu ili usiende kununua kwa wengine [emoji38][emoji38] kwa hiyo wewe kazi yako itakua ni kuagiza matunda ya elfu 5,4,3,2 tu
 
No 2 sijaelewa, maana yake huyo demu kila siku anakula mgahawani na utakuwa unafanya kazi ya kusubiria muda wake wa kuja kula
 
No 2 sijaelewa, maana yake huyo demu kila siku anakula mgahawani na utakuwa unafanya kazi ya kusubiria muda wake wa kuja kula
Muda wa lunch wa wafanyakazi unaeleweka
 
Hii mbona ni very long distance trade!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…