Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Acha kujipa pressure wewe.... Vipi kwani humridhishi ndani??
Jibu kilichoulizwa basi, ndo maana mnafeli mitihani
Genuinely..... Jibu langu sio mzaha, unapalia makaa na kufupisha maisha yako kwa mawazo ambayo mwisho yatakufanya uwe depressed.
Acha kujipa pressure wewe.... Vipi kwani humridhishi ndani??
Hebu soma signature yako tafadhali, then tafakari
Si kweli kuwa wote watokao nje, awe mwanamke au mwanaume eti hawaridhishwi na wandani wao. Toa msaada kwa mhitaji kama hujui ni bora kunyamaza, hujui kuwa mpaka mtu kuomba msaada kwa wanajamvi. Subiri nawe yakukute!
"Never get angry.
Believe me I am not angry.... But nahisi maybe wee umechukia;
Never make a Threat.
Sijakutisha ndio maana nikakwambia katika post yangu
ya pili kua mchango wangu ulikua genuine... na sio mzaha..
Reason with People"
Sig yangu huniongoza mara nying... Ndio maana nikauliza kua
humridhishi (sio kwa nia mbaya) Mpaka wee umeweka swala lako
hapa ina maana unataka Utatuzi... na utatuzi mzuri utapata tu ukiwa
wazi. Sijaelewa kabisa kwamba wee waishi na Mkeo then uanze kutaka
jua kama katoka nje, hio itakuchukua a lot of your energy na kukufanya
kila unapokua nae faragha ujiulize kama kuna mtu kapita hapo... Believe
me you yaweza hata punguza nguzu yako... itakukosesha raha... na
kukufanya hata uanze mchukia mkeo hali kumbe hata hafanyi....
Hivi wewe unaona ni sawa tu kuanza fikiria Mke/Mme anatoka nje out of nowhere... Sijasema hamridhishi... Nimemuuliza kama hamridhishi?? For why the wasiwasi....
Na ofcoz nakubaliana na wewe kua sio kila anaetoka haridhishwi.... Sababu ni nyingi mno!
Unatoa mfano au ni ndio hali ilivyo???Jamani naomba mnisaidie, nawezaje kugundua kama mke wangu ama mpenzi wangu ametoka kufanya mapenzi leo leo kabla mimi sijakutana naye. Hebu nipeni mbinu waungwana nitagunduaje jambo hilo? Mfano kama katoka kufanya na mwanaume mwingine mchana, then jioni amekuja kwangu
Unatoa mfano au ni ndio hali ilivyo???
Soma post #8
Acha kujipa pressure wewe.... Vipi kwani humridhishi ndani??
BTW... Mwanamke ambae hutoka nje hutamtambua kwa kuangalia maeneo yake... Bali kwa kumuona ama kufumania... ndo kwanza anaweza toka alikotoka huko na ukapata chumvi na usinotice the difference.