Uchaguzi 2020 Mbinu za kumuombea kura za ndiyo Tundu Lissu 2020

Uchaguzi 2020 Mbinu za kumuombea kura za ndiyo Tundu Lissu 2020

monde arabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
8,781
Reaction score
13,444
Habari za muda huu ndugu zangu wanajukwaa pendwa.

Ndugu yenu nimeona ni vema tukapeana techniques za kumuombea kura za ndiyo Mh. Lissu kwa kuwa ndyo kiongozi pekee tunayemtegemea atutoe kwenye minyororo ya Pharaoh muuaji (CCM) na kutupeleka kwenye nchi ya ahadi, nchi ya Uhuru na haki.

Kila mmoja wetu aweke mbinu ya kumpatia kura Mh. Lissu, mimi naweka mbinu zangu chache hapa chini kama zifuatavyo;

1. Kwa sisi watumishi wa umma tuwaambie ndugu zetu wanaotutegemea kuwa tumeshindwa kuwasaidia ipasavyo kwa kuwa serikali ya CCM haijatupandisha madaraja ya kiutumishi. Pia,tuwaeleze ukweli kuwa serikali ya CCM imetupandishia kodi kubwa so mishahara tunayolipwa haikidhi mahItaji. Mwisho, technique hii itatengeneza chuki kati ya watu wanaotutegemea na serikali ya CCM. Vilevile tuwaambie na kuwakumbusha Mama, Baba, Shangazi, Wajomba na Bibi zetu kuwa CCM ikitoka madarakani chama kitakachokuja kitatupandisha madaraja ya kiutumishi. Kila mmoja ahakikishe anaitumia silaha hii vizuri!

2. Kusafiri na kuomba kura sehemu ambako ni mbali kutoka kwenye vituo vyetu vya kazi. Hapa kila mtumishi wa umma ajitahdi kusafiri na kwenda sehemu za mbali kwa ajili ya kumuombea kura za ndyo Mh. Lissu. Mpaka sasa nimeshamuombea kura za ndyo Mh. Lissu zaidi ya kura 289 kwa kusafiri maeneo mbalimbali.

3. Watumishi wa umma tutumie heshima tunayopewa na jamii kumuombea kura za ndyo Mh. Lissu. Hapa kuna Watumishi kama Walimu, Manesi, Madaktari na Mabwana mifugo tunaaminiwa sana na jamii. Ukimueleza mwanajamii kuwa "naomba kura yako iende kwa Lissu" lazima atakuelewa.

Muda ni huu, nafasi ndyo hii. Tusifanye makosa Malaika hatibui maji mara mbili, maji yameshatibuliwa wagonjwa wote tuingie.

Asanteni sana

Ni yeye2020!
 
Unamjambisha meku ili awaongezee mshahara na mwezi huu mnaongezewa 18% kaa mguu sawa!!!!!!
 
Njia nzuri ni kuomba Kura kiungwana ili usionekane kuwakasirisha makundi makundi ya watu ama mahali wanayotoka, ukanda wao,kazi zao na kudharau hata kile unachokiita ni kibaya kufanywa Kwa Wakati huu ili Hali kuna watu lundo wanakifurahia

Ni kuwaonyesha watu wewe ni Bora kuliko aliyekuwepo, tena kistarabu Tu na vicheko vingi, mbona kazi ndogo Sana mkuu
 
Ccm hawahitaji siasa za kistaarabu by the way,ukienda Rumi fanya kama wafanyavyo Warumi...ukienda night club cheza kulingana na tone,if it's hip hop,lingala,dancehall or whatever dance accordingly!
Basi tegemea kichapo cha mbwa Koko temu hii
 
Wana wa Israel wakiongozwa na Mussa wakati wanatoka Misri utumwani kwenda Kanaani kwenye nchi ya ahadi,hawakufika wote (hata Mussa mwenyewe hakufanikiwa kuingia kwenye nchi ya ahadi japo Mungu alimuonyesha na akaiona kwa macho ya nyama)

Pamoja na kuchezea kichapo cha mbwa koko lakin,lazima ccm itoke madarakani na hata kama kuna Watanzania watakufa mwisho wa siku wale watakaopona/baki wataishi maisha mazur

Amani kwenye njaa haitadumu miaka yote!
Kwa siku hizi ukitaka kuwa kiongozi mwenye maono ya kuwaona wengine wakifa ndio utawale, ni utawala wa laana ambao hauwezi kudumu Kwa kipindi chote cha mtawala wa Aina hiyo kutashuhudiwa damu zikiendelea kumwagika Kwa dhambi kubwa kama hiyo

Toa mfano, kwa nchi ambazo zilijitwalia Uhuru wake na baada ya Uhuru mtu au mwanasiasa atake Uongozi Kwa kumwaga damu kama nchi ilitulia!
Ni wapi mkuu

Kuna maisha baada ya uchaguzi mkuu, ustake kufurahia mwanasiasa akiingia Ikulu Kwa umwagaji damu, hiyo inaweza kumfanya awe kichaa kwa kila anapoona ama kukumbuka damu za watu zilizomwagwa

Hatujafikia huko hata kidogo mkuu
 
Kila mtu anayemuunga mkono Lissu kama yeye ndiye mkuu wa familia ahakikishe kila mtu ndani ya Kaya yake anampigia kura

Watu waweke vikao vya familia, wawape elimu ya uraia wakazi wa nyumba zao wawaeleweshe jinsi Magufuli alivyoathiri familia zao kwenye biashara zao, kilimo chao, ajira zao, alivyovunja nyumba zao, alivyoacha kuongeza nyongeza za mishahara yao, Jinsi alivyopandisha makato ya mkopo wa elimu ya juu. Na wawaeleze kuwa kupungua kwao kula nyama, siagi, family parties, ni kwa sababu ya sera za Magufuli kwa hiyo aitake familia yake nzima siku ya kupiga kura wasimpigie kura Magufuli ili waweke raisi mwingine aboreshe hali za maisha yao!
 
Mimi nawaambia kila siku vijana vichwa maji wa CCM. Kama mimi nalipwa na Serikali mpaka najenga na kununua usafiri naona uozo je,wewe uliyepanga kwenye stoo umeweka kila kitu uone uzuri wa serikali hii dhalimu?
 
Habari za muda huu ndugu zangu wanajukwaa pendwa.

Ndugu yenu nimeona ni vema tukapeana techniques za kumuombea kura za ndiyo Mh. Lissu kwa kuwa ndyo kiongozi pekee tunayemtegemea atutoe kwenye minyororo ya Pharaoh muuaji (CCM) na kutupeleka kwenye nchi ya ahadi, nchi ya Uhuru na haki.

Kila mmoja wetu aweke mbinu ya kumpatia kura Mh. Lissu, mimi naweka mbinu zangu chache hapa chini kama zifuatavyo;

1. Kwa sisi watumishi wa umma tuwaambie ndugu zetu wanaotutegemea kuwa tumeshindwa kuwasaidia ipasavyo kwa kuwa serikali ya CCM haijatupandisha madaraja ya kiutumishi. Pia,tuwaeleze ukweli kuwa serikali ya CCM imetupandishia kodi kubwa so mishahara tunayolipwa haikidhi mahItaji. Mwisho, technique hii itatengeneza chuki kati ya watu wanaotutegemea na serikali ya CCM. Vilevile tuwaambie na kuwakumbusha Mama, Baba, Shangazi, Wajomba na Bibi zetu kuwa CCM ikitoka madarakani chama kitakachokuja kitatupandisha madaraja ya kiutumishi. Kila mmoja ahakikishe anaitumia silaha hii vizuri!

2. Kusafiri na kuomba kura sehemu ambako ni mbali kutoka kwenye vituo vyetu vya kazi. Hapa kila mtumishi wa umma ajitahdi kusafiri na kwenda sehemu za mbali kwa ajili ya kumuombea kura za ndyo Mh. Lissu. Mpaka sasa nimeshamuombea kura za ndyo Mh. Lissu zaidi ya kura 289 kwa kusafiri maeneo mbalimbali.

3. Watumishi wa umma tutumie heshima tunayopewa na jamii kumuombea kura za ndyo Mh. Lissu. Hapa kuna Watumishi kama Walimu, Manesi, Madaktari na Mabwana mifugo tunaaminiwa sana na jamii. Ukimueleza mwanajamii kuwa "naomba kura yako iende kwa Lissu" lazima atakuelewa.

Muda ni huu, nafasi ndyo hii. Tusifanye makosa Malaika hatibui maji mara mbili, maji yameshatibuliwa wagonjwa wote tuingie.

Asanteni sana

Ni yeye2020!
Mjinga tu unamuombea kwa vile ukweli lissu ni ombaomba tu. Ndio maana mabeberu wanamtumia ni mtu mlaku msaliti na ombaomba. Magufuli sio ombaomba atavuna alichopanda kura nyingi za ushindi kutokana na uzalendo.
 
Mjinga tu unamuombea kwa vile ukweli lissu ni ombaomba tu. Ndio maana mabeberu wanamtumia ni mtu mlaku msaliti na ombaomba. Magufuli sio ombaomba atavuna alichopanda kura nyingi za ushindi kutokana na uzalendo.
Pia wawaambie hao nyumbu wampe kura sababu alipigwa risasi na atatetea haki ya watu wa jinsia moja kuoana.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Teh teh.... Njia nzuri ni kumuomba uncle M' ajitoe kwenye uchaguzi. Akikubali tu....njia nyeupeee.
 
Kuhakikisha campeni ya TL inafanikiwa nashauri akaunti ya kampeni ifunguliwe kumuwezesha kusafiri kwa helicopter, ba safari hii wajumlisha matokeo wafanye kazi hiyi wakiwa Kenya au ulaya wasije vamiwa na polisisiem kama uchaguzi was 2015
 
Back
Top Bottom