Mbinu za kupata utajiri wa kudumu

Kama mtu unaona kilichoandikwa hakikusaidii lolote, pita tu uende kwenye nyuzi zinazokufaa sio kuleta ubishi na kejeli zisizokuwa na maana. Anachokiandika Mtimkavu kuna ukweli asilimia zaidi ya 50,
 
Mzizimkavu uko sahihi hata kama umekopi lakini umeleta mjadala wa maana. Kikwazo kwa wabongo ni ukosefu wa wasimamizi waaminifu. Unamwachia biashara wewe unarudi kwenye ajira ili utafute fedha za uwekezaji yeye anaanza kuagiza matumizi hewa, anatoa taarifa za utekelezaji hewa mwishowe unakuta mradi hewa. Kwa upande wangu naona sehemu ngumu ni kuwekeza kwenye rasilimali watu kwa njia ya kuchagua wenye uelewa sio unaokota ndugu, kutoa semina jinsi watakavyofaidika na mradi n.k baada ya hapo usiwalipe hela ya mawazo kama umeamua wasimamie badala yako. Pia wadau waelewe kwamba biashara si kupata faida ndani ya mwaka mmoja. Biashara inajengwa kama nyumba na inakua kama unavyopanda ngazi au kama mtoto anavyokua kwa kutambaa, simama dede, kutembea, kukimbia.
Nawasilisha japo kwa uchache.
 

Shukrani nyingi kwa uzi huu!
 
kwel san
hongera kwake
 
Usikatishe aisee endelea
 
Jioni imeshafika lianzishe tena kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…