nilitaka nimpe mbinu but naona labda sio sahihi lol
Japo hajaelezea kutoka kivipi.
Okey kama unataka kutoka na demu wa rafiki yako fanya haya
1. Hakikisha kuwa rafikiyako anajua na ulishaweka ahadi.
2. Huyo dada pamoja na mupenzi wake waridhie kutoka kwenu.
3. Mahali mnapokwenda ni open space au kunamchanganyiko wawatu ili kuondoa temptetion.
4. Huna tamaa ya ngono dhidi yake(unaweza kubaka).
5. Umpe heshima yake kama shemeji yako mwanzo hadi mwisho wa mtoko wenu...
6. ...
7. ......
Nadhani utakuwa umenipata mkuu...
sidhani kama alitaka hii...au sio The Boss....lol
naona mimi na wewe tu ndo tumemuelewa lol
ni bora aelekezwe-maana kuna ambao hawaelekezwi lakini ni malaya wa kutupwani heri umeamua kuacha hivi we unadhani huyu akili yake timamu.........yaani tumfundishe umalaya hapa jf, halafu kesho unasimama jukwaani kukemea tabia hatarishi za kuambukiza ukimwi!