LGE2024 Mbinu zinazotumika kuchafua zoezi la uboreshaji wa daftari la wakazi kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Mbinu zinazotumika kuchafua zoezi la uboreshaji wa daftari la wakazi kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Kupitia vyanzo vyangu vya uhakika, naweka hapa namna CCM inavyoingilia kuchafua zoezi la uandikishaji daftari la Wakazi watakaopiga kura hapo Novemba 2024 kuwachagua viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
  1. Baada ya kuumbuliwa kwa kuwaandikisha wanafunzi ambao hata umri wa kupiga kura hawajafikia, sasa waalimu wakuu wa shule wameelekezwa kuwasilisha majina ya wanafunzi waliomaliza shule hizo na yanaingizwa kwenye daftari la wakazi.
  2. Kambi za miradi ya ujenzi ambazo zipo chini ya Wachina, zimekuwa zinatembelewa kipindi hiki na watendaji wa mitaa na vijiji kufanya uandikishaji wa vibarua na wafanyakazi Watanzania ndani ya kambi hizo... zoezi hili linafanywa kwa usiri mkubwa.
  3. Waandikishaji wanapewa roaster ya majina kutoka viongozi wa CCM na yanaingizwa kwenye daftari la wakazi. Wajumbe wa mashina wqmeandaliwa kuwatambua hao watu wasiojulikana ndani ya maeneo yao
Haya mambo yanatia aibu na yanalenga kuchafua mchakato wa kidemokrasia....

Tujulishe hapa endapo kuna mbinu inqyotumika eneo lako kuchafua zoezi la uandikishaji
 
20241016_201941.jpg
 
Maigizo ya Chadema hayo wanaleta wanafunzi na kujitia wanawakamata
Wanajitekenya na kujichekesha wenyewe
 
Kupitia vyanzo vyangu vya uhakika, naweka hapa namna CCM inavyoingilia kuchafua zoezi la uandikishaji daftari la Wakazi watakaopiga kura hapo Novemba 2024 kuwachagua viongozi wa Mitaa, Vijiji na Vitongoji.
  1. Baada ya kuumbuliwa kwa kuwaandikisha wanafunzi ambao hata umri wa kupiga kura hawajafikia, sasa waalimu wakuu wa shule wameelekezwa kuwasilisha majina ya wanafunzi waliomaliza shule hizo na yanaingizwa kwenye daftari la wakazi.
  2. Kambi za miradi ya ujenzi ambazo zipo chini ya Wachina, zimekuwa zinatembelewa kipindi hiki na watendaji wa mitaa na vijiji kufanya uandikishaji wa vibarua na wafanyakazi Watanzania ndani ya kambi hizo... zoezi hili linafanywa kwa usiri mkubwa.
  3. Waandikishaji wanapewa roaster ya majina kutoka viongozi wa CCM na yanaingizwa kwenye daftari la wakazi. Wajumbe wa mashina wqmeandaliwa kuwatambua hao watu wasiojulikana ndani ya maeneo yao
Haya mambo yanatia aibu na yanalenga kuchafua mchakato wa kidemokrasia....

Tujulishe hapa endapo kuna mbinu inqyotumika eneo lako kuchafua zoezi la uandikishaji
Pamoja na hayo yote, usizubae sana,
Kumbuka, uchaguzi wenyewe utafanyika mapema Nov 27, 2024🐒
 
CCM WAMETAKA KUUWA MTU KISA UANDIKISHAJI DAFTARI LA MKAZI.

Habari ya Asubuhi kamanda,Mimi naitwa Mchungaji Israel Ernest Ngatunga mjumbe wa kamati tendaji CHADEMA kata ya msongola Jimbo la Ukonga video hii ni shambulio la kujaribu kuniua Mimi na katibu kata Ukuni respicuas pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA tawi la yange yange.

Ambapo vijana wa CCM walikuwa wana daftari wakiwa wamekaa kwenye njia ya kwenda kujiandikisha na kuwa wana waandikisha watu na kuwambia kuwa wao ndio waandikishaji hivyo waende nyumbani tulifika eneo hilo na tulipo jaribu kuwa uliza walianza kutushambulia wakianza na katibu wakati najaribu kuzuia wasifanye hivyo kijana mmoja anaejulikana kwa jina la abdul mjinga akachukuwa tofari kama inavyo onekana kwenye video akanipiga kichwani nakupelekea kupoteza fahamu.

Waliofanya hayo ni Abduli mjinga, Joseph mkami na omary mkami.chakusikitisha ni kuwa polisi walikuja kesho yake wakakabidhiwa majina ya hao vijana wakasema wao watamkamata tu huyo Alie nipiga na tofari na alipo kamatwa alifikishwa kituoni na kuachiwa muda huo huo bila kujua Mimi nipo kwenye Hali gani.
By: Twaha Mwaipaya


Screenshot_20241017_120954_X.jpg
 
CCM WAMETAKA KUUWA MTU KISA UANDIKISHAJI DAFTARI LA MKAZI.

Habari ya Asubuhi kamanda,Mimi naitwa Mchungaji Israel Ernest Ngatunga mjumbe wa kamati tendaji CHADEMA kata ya msongola Jimbo la Ukonga video hii ni shambulio la kujaribu kuniua Mimi na katibu kata Ukuni respicuas pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA tawi la yange yange.

Ambapo vijana wa CCM walikuwa wana daftari wakiwa wamekaa kwenye njia ya kwenda kujiandikisha na kuwa wana waandikisha watu na kuwambia kuwa wao ndio waandikishaji hivyo waende nyumbani tulifika eneo hilo na tulipo jaribu kuwa uliza walianza kutushambulia wakianza na katibu wakati najaribu kuzuia wasifanye hivyo kijana mmoja anaejulikana kwa jina la abdul mjinga akachukuwa tofari kama inavyo onekana kwenye video akanipiga kichwani nakupelekea kupoteza fahamu.

Waliofanya hayo ni Abduli mjinga, Joseph mkami na omary mkami.chakusikitisha ni kuwa polisi walikuja kesho yake wakakabidhiwa majina ya hao vijana wakasema wao watamkamata tu huyo Alie nipiga na tofari na alipo kamatwa alifikishwa kituoni na kuachiwa muda huo huo bila kujua Mimi nipo kwenye Hali gani.
By: Twaha Mwaipaya
View attachment 3127535

View attachment 3127538
Duh,
Hao ccm hawaoni shida kuua kisa wizi wa kura ili kupata madaraka
 
Back
Top Bottom