Mbio za Arsenal, ManU na Chelsea....Robo anena. Je wewe nn mtizamo wako?

Natamani utabiri wa huyu bwana uwe kweli wa Arsenal kuwa bingwa. Wenger anastahili sifa kwa kuiweka timu hiyo kwenye contention namna hii. Arsenal wamekuwa na ukame wa hilo kombe kwa siku nyingi zaidi ya Manchester United na Chelsea hivyo naomba wawe washindi mwaka huu.
 
ligi ni ngumu..lakini soka safi ndio litakufanya timu bora ichukuwe ubingwa
 
Sir Alex Ferguson: Goal Difference Could Win Manchester United The Premier League Title

Red Devils must keep scoring...

http://www.facebook.com/sharer.php?...ed The Premier League Title - Goal.com&src=sp


http://www.google.com/reader/link?u...mier League Title&srcURL=http://www.goal.com/

Manchester United manager Sir Alex Ferguson wants his team to continue pushing to score as many goals as possible in their remaining Premier League games, as goal difference could yet play a crucial role in determining the ultimate destination of the league title.

The Red Devils have scored 72 league goals this season and have a goal difference of +47, exactly the same as second placed Chelsea.

"Chelsea's win the other night has brought them level with us on goal difference and goals could be important," the United boss told reporters at his Friday press conference.

"I've said that a few times over the years but I just have a feeling I'm going to be right this time. We've always been in a strong position with goal difference over the years, but it's very tight this time.

"The only way to solve it from our perspective is to win our games starting with Bolton on Saturday."

Some observers believe that Arsene Wenger's Arsenal team hold the aces in the title race with a relatively straight forward run-in in terms of fixtures.

But Ferguson does not think the run counts for much, as tension means teams can drop points in unlikely places.

"On paper they have the easier run-in, but at this time of the season I'm not sure that theory works or means anything," he added.

"You can drop points anywhere as Chelsea did at Blackburn and your advantage on paper all of a sudden doesn't look so good.

"I don't think you can say with certainty you'd be confident going anywhere at this time of the season and winning.

"We just have to rely on our experience and hopefully we can keep a relatively clean bill of health between now and the end of the season.

"The name of the game is to win your games and hopefully we can do that. That's our best way of looking forward."
 
My team of the season
  1. Mark Schwazer
  2. Branislav Ivanovic
  3. Patrice Evra
  4. Tomas Vermalen
  5. Richard Dunne
  6. Daren Fletcher
  7. Andry Arshavin
  8. Stephen Pienaar
  9. Didier Drogba
  10. Wayne Rooney
  11. Craig Belamy
 
Ngumu sana kutabiri ila naomba Man U wachukue ubingwa...


Naona unajifagilia BJ hahahahahaha, mwaka huu msahau tu labda mjaribu mwakani, mwaka huu ni wa kwetu 🙂
 
Naona unajifagilia BJ hahahahahaha, mwaka huu msahau tu labda mjaribu mwakani, mwaka huu ni wa kwetu 🙂

Si unajua,kujipendelea muhimu BAK!..ha ha...ila honestly Ars wakishinda title nitafurahi pia, mna uhaba sana nyie gunners kwa hiyo tutakuwa tumewaachia msimu huu tu na msizoee)):
 
Kesho kutabadilisha utabiri huo ....Mwaka huu ni wakuvunjwa records tu ...Wadau wa ManUtd hatustahili kuwa na presha mie nasema mbuzi yake kamba tu...Mechi nayosubiria ni J4(30th March) na Jmosi (3rd April) if we get a clean sheet win mambo yatakuwa tambarare
 
Haya Robbo
Birmingham 1 Arsenal 1
Chelsea 7 Aston Vila 1
Bolton 0 Man U 4
 
Nawangoja wazee wa 'tough fixtures' waje wamwage comments zao hapa....Lol!
 
Arsenal bado ana nafasi ya kunyakuwa ubingwa
 
Ngoja tuendelee kusubiri utabiri wa huyu jamaa
 

Hahaaaaaaaaa,yametimia....lol
 
Utabiri wa jana umeenda kinyume
 
MANU PTS 76
SPURS 3
SUNDERLAND 3
STOKE 3
TOTAL 85

CHELSEA PTS 77
STOKE 3
LOOSERPOOL 0
WIGAN 3
TOTAL POINTS 83




ASERNAL PTS 71
MAN SHITTY 1
BLACKBURN 1
FULHAM 3
TOTAL POINTS 76

MANU will be champion by 2 points clear .you are welcome to put your prediction in here.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…