Tetesi: Mbio za Mwenge ni mradi wa makada wa ccm

Tetesi: Mbio za Mwenge ni mradi wa makada wa ccm

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,204
Reaction score
3,277
Ingawa ukimbizaji Mwenge ni jambo la kitaifa, lakini kuna tetesi kuwa mbio za Mwenge huwa ni mradi wa makada wa CCM, ambapo kila mwaka makada hao ugawana takribani bilioni 120 katika mzunguko mzima . Inasemekana kama wewe si kada wa CCM uwezi kuingizwa kwenye mradi huo. Kupitia Mwenge baadhi makada wa CCM ujizolea mamilioni ya pesa kwa kugushi manunuzi ya vitu mbalimbali ikiwemo mafuta ya gari, Chakula cha wakimbiza mwenge nk. Ugawanaji wa pesa hizo hutegemea na cheo chako katika mbio hizo za mwenge
 
Back
Top Bottom