Mbio za sakafuni huishia ukingoni

Mbio za sakafuni huishia ukingoni

Deal28

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
96
Reaction score
114
kadabi kadogo hakooo mkwakwani, hati hati ya simba kutaka kupoteana na finali ya kombe la ngao ya jamii, nikutokana na kutokuwepo kwa mwamba wa lusaka, Cloutas Chota Chama, lakini pia papatu, papatu za kukosa magoli mengi young africa vs azam ni kukosekana kwa mshambuliaji mahiri

Jumapili hii, kila pande kumeshona, chama yupo, huku Konkoni ndani, yaani ni patashika nguo kushikana, Je ngao ya jamii itasalia kwa wenyewe au ni movement for change?
 
Kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa

@mpwanyungu village yeye ameonba kwa Moderators kuwa
AMEJAZA SERVA ZA JAMII FORUM BURE, AMEOMBA NYUZI ZAKE ZOTE ZIFUTWE HAPA JF.

KUANZA UPYA SI UJINGA.
 
... kadabi kadogo hakooo mkwakwani, hati hati ya simba kutaka kupoteana na finali ya kombe la ngao ya jamii, ni kutokana na kutokuwepo kwa mwamba wa lusaka, Cloutas Chota Chama,
Chama kuwepo au kutokuwepo ni maamuzi ya kocha, adhabu ameshamaliza na hata asingekuwapo taabu ipo pale pale.
NB: Kwa nini unamuhofia Chama?
 
Back
Top Bottom