kadabi kadogo hakooo mkwakwani, hati hati ya simba kutaka kupoteana na finali ya kombe la ngao ya jamii, nikutokana na kutokuwepo kwa mwamba wa lusaka, Cloutas Chota Chama, lakini pia papatu, papatu za kukosa magoli mengi young africa vs azam ni kukosekana kwa mshambuliaji mahiri
Jumapili hii, kila pande kumeshona, chama yupo, huku Konkoni ndani, yaani ni patashika nguo kushikana, Je ngao ya jamii itasalia kwa wenyewe au ni movement for change?
Jumapili hii, kila pande kumeshona, chama yupo, huku Konkoni ndani, yaani ni patashika nguo kushikana, Je ngao ya jamii itasalia kwa wenyewe au ni movement for change?