NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
KUFUNGA NI BAHATI TENA UKIZINGATIA AZIZI K SIYO NAMBA 9Michezo mitatu mbele
Ila Azizi Ki ana kazi ya kufanya ili ampite
ni sawa anaongoza,ila azam wana michezo mitatu mbele ya yangaMbio za Kiatu cha #UfungajiBora wa NBC Premier League msimu huu zinaendelea kupamba moto na mpaka sasa kileleni yupo Feisal Salum wa Azam Fc ambaye hapo jana alifikisha magoli 11 na anayemfuatia ni Stephane Aziz Ki wa Yanga Sc mwenye magoli 10.
Maoni Yangu: kwa kua Feisal Salumu hatokei Yanga Sc Wala Simba sc hutoona wachambuzi, Redio, magazeti na Tv zikimuimba lakini bwana mdogo yupo Moto sana.View attachment 2924203
Sijakataa mkuuni sawa anaongoza,ila azam wana michezo mitatu mbele ya yanga
Na unaweza shangaa sio Aziz Ki ndiye atakayekuja kuwa mpinzani wake. Pale Yanga, kuna wafungaji wengi na wana uwiano mkubwa wa magoli hivyo unaweza shangaa Max au Mudathir wakapanda juu ya Azizi kiMbio za Kiatu cha #UfungajiBora wa NBC Premier League msimu huu zinaendelea kupamba moto na mpaka sasa kileleni yupo Feisal Salum wa Azam Fc ambaye hapo jana alifikisha magoli 11 na anayemfuatia ni Stephane Aziz Ki wa Yanga Sc mwenye magoli 10.
Maoni Yangu: kwa kua Feisal Salumu hatokei Yanga Sc Wala Simba sc hutoona wachambuzi, Redio, magazeti na Tv zikimuimba lakini bwana mdogo yupo Moto sana.View attachment 2924203
HILO HALINA SHAKA KABISANa unaweza shangaa sio Aziz Ki ndiye atakayekuja kuwa mpinzani wake. Pale Yanga, kuna wafungaji wengi na wana uwiano mkubwa wa magoli hivyo unaweza shangaa Max au Mudathir wakapanda juu ya Azizi ki
Baada ya game ya jana msimamo umekaaje?Michezo mitatu mbele
Ila Azizi Ki ana kazi ya kufanya ili ampite
Leo atatuthibishia uwezo wake wa kuokoyesha nyavuni.HUYO NDIYO BWANA MDOGO FEISALView attachment 2924333