Mbivu na mbichi kuhusu vipaji Recruitment

Lameckjr

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
133
Reaction score
247
Wadau habari zenu!!
Kutokana na changamoto ya ajira nchini kwetu kumekuwa na wimbi kubwa la watu au mashirika yanajiita jobs recruiters!!

Hoja yangu naomba kuuliza humu kama kuna mtu ameshaajiriwa kupitia jobs recruiters wanaoitwa Vipaji link!!

Asante
 
Hakuna kitu hapo nimesubirigi kuitwa kimya karibia mwaka na NUSU sasa
 
Hawa jamaa watakuwa wanatafuta followers kwenye mitandao kupitia kutangaza ajira Kumbe in reality ni wababaishaji
 
Ishu sio kuitwa kwa ajili ya interview
Ishu walioajiriwa kupitia vipaji
 

Inaonekana utakuwa hauna Kipaji Mkuu.
 
Chenga sana hao jamaa, nakumbuka miaka ya nyuma nilishawahi kufanyiwa interviews Kama nne ya position moja,tulianza tukiwa candidates 8,wakachujwa nikabaki mmoja,nikaambiwa nitapigiwa simu ili nipewe mkataba,mpaka leo sikuwahi kupokea simu yao.
 
Ishu sio kuitwa kwa ajili ya interview
Ishu walioajiriwa kupitia vipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…