Ameir Eshaq
Member
- Jan 3, 2011
- 35
- 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na pilipili mbuzi kwa mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaliChumvi kwa mbaliiiiiiiiii
Mboga bomba, nimewala sana utotoni wakati nachunga ng'ombe....mnawachimbua . koka moto...banika ...kulaaa.....shibeeee....home ugali hupandi!
Hii inafaa uwe umepiga bia za kutosha,vinginevyo hailiki!!
Hawa ni paya wa porini? (Panya buku) yeah wanaliwa mboga tamu sana, chumvi pilipili kwa mbaliii.
Sikonge anaijua hii mboga inaitwa "Masenge" kwa kilugha chake.
lazima kuondoa nishai kwanza ikiwezekana valuuuuuuu za kutosha
Hii inafaa uwe umepiga bia za kutosha,vinginevyo hailiki!!