Mboga saba kutoka kwa Mr Blue

Mboga saba kutoka kwa Mr Blue

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Mboga saba.


Verse 1 – Mr Blue
Mboga saba umeniteka, makahaba nawacheka

Kwenye mkataba nakuweka, kwenye mahaba nakuweka

Napiga ibada usije lala kwenye mkeka
Aah kama vumba likikataa

Aah ndumba halitovaa

Bila nyumba chumba kimoja utakaa?
Nguo za mitumba nauliza mchumba utavaa? (Yeah)

Yeah, basi mororo, nakupenda na ngozi yako nyororo

Kote unakwenda hata kwenye vigodoro

Penzi lako limenifunga minyororo

Basi leo twende wapi? Nichukue bajaji nije kwenu Masaki

Twende Coco Beach ukale mishikaki?

Au Zara Moon ukale ugali samaki?

Nachokupenda kuwa hujui kujivuna

Mtoto mzuri ila hujui kunichuna

Watoto wa uswazi hawajui kunikuna

Mapenzi kamari ila hujui kunipuna
[Pre-Chorus – Alikiba]

Nilipiga goti kwa Mungu na dua ikafika

Haya maisha yangu na wewe ukaridhika
[Chorus – Alikiba]

Eii…

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha
Verse 2 – Mr Blue
Mtoto unajua njaa, (mtoto) unajau raha

(Mtoto) kweli kifaa, (mtoto) kweli unafaa

Moto bila ya mkaa, ndoto ya kila star

We ni joto kwangu baridi balaa

Bonge la bambataa, unapendeza unavovaa

Kwenye bed unavyocheza kama kwenye jukwaa

Macho ya kulegeza, hii sio kungu nakataa

Kwenye giza waka waka kama taa

Ulaya bila visa nafika bila kupaa

Ah, mama halali wa pendo

Achana na habari na skendo

Wanakaba kabari kila angle

Wanataka nife wateke mali wazibe pengo

Hawajui…

Pengo langu halizibiki, hawasumbui

Pendo gonjwa sugu halitibiki

Unapendwa na babu na bibi, na mama na baba

Nakuita beki kwenye bonge la ligi unavyokaba

Mabrazameni ntawapiga shaba

Niacheni na mboga saba, bakieni na makahaba

Nachompenda kuwa hajui kujivuna

Mtoto mzuri ila hujui kunichuna

Watoto wa uswazi hawajui kunikuna

Mapenzi kamari ila hujui kunipuna
[Pre-Chorus – Alikiba]
Nilipiga goti kwa Mungu na dua ikafika

Haya maisha yangu na wewe ukaridhika
[Chorus – Alikiba]

Eii…

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha
[Outro]

Oh yee ye oyee, oh yee yee oyee

Oh yee ye oyee, oh yee yee oyeeye
 
Mboga saba.
View attachment 3261524

Verse 1 – Mr Blue
Mboga saba umeniteka, makahaba nawacheka

Kwenye mkataba nakuweka, kwenye mahaba nakuweka

Napiga ibada usije lala kwenye mkeka
Aah kama vumba likikataa

Aah ndumba halitovaa

Bila nyumba chumba kimoja utakaa?
Nguo za mitumba nauliza mchumba utavaa? (Yeah)

Yeah, basi mororo, nakupenda na ngozi yako nyororo

Kote unakwenda hata kwenye vigodoro

Penzi lako limenifunga minyororo

Basi leo twende wapi? Nichukue bajaji nije kwenu Masaki

Twende Coco Beach ukale mishikaki?

Au Zara Moon ukale ugali samaki?

Nachokupenda kuwa hujui kujivuna

Mtoto mzuri ila hujui kunichuna

Watoto wa uswazi hawajui kunikuna

Mapenzi kamari ila hujui kunipuna
[Pre-Chorus – Alikiba]

Nilipiga goti kwa Mungu na dua ikafika

Haya maisha yangu na wewe ukaridhika
[Chorus – Alikiba]

Eii…

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha
Verse 2 – Mr Blue
Mtoto unajua njaa, (mtoto) unajau raha

(Mtoto) kweli kifaa, (mtoto) kweli unafaa

Moto bila ya mkaa, ndoto ya kila star

We ni joto kwangu baridi balaa

Bonge la bambataa, unapendeza unavovaa

Kwenye bed unavyocheza kama kwenye jukwaa

Macho ya kulegeza, hii sio kungu nakataa

Kwenye giza waka waka kama taa

Ulaya bila visa nafika bila kupaa

Ah, mama halali wa pendo

Achana na habari na skendo

Wanakaba kabari kila angle

Wanataka nife wateke mali wazibe pengo

Hawajui…

Pengo langu halizibiki, hawasumbui

Pendo gonjwa sugu halitibiki

Unapendwa na babu na bibi, na mama na baba

Nakuita beki kwenye bonge la ligi unavyokaba

Mabrazameni ntawapiga shaba

Niacheni na mboga saba, bakieni na makahaba

Nachompenda kuwa hajui kujivuna

Mtoto mzuri ila hujui kunichuna

Watoto wa uswazi hawajui kunikuna

Mapenzi kamari ila hujui kunipuna
[Pre-Chorus – Alikiba]
Nilipiga goti kwa Mungu na dua ikafika

Haya maisha yangu na wewe ukaridhika
[Chorus – Alikiba]

Eii…

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Unanifaa sana

(Oh yee ye oyee, oh yee ye oyee)

Nasikia raha
[Outro]

Oh yee ye oyee, oh yee yee oyee

Oh yee ye oyee, oh yee yee oyeeye
Nadhani kwenye usanii muziki hii ndio ya kwake niliyoelewa
 
Remix
Singo mama umeniteka
.

Singo Mama umeniteka, Mabikra wananicheka.

Kwenye urithi nakuweka, kwenye wosia nakuweka.

Napiga ibada mtoto wako asije kunikataa, kama mavumba yakikata.

Yeah Basi Mororoo nakupenda na mtoto wako choloo
 
Back
Top Bottom