Mbogamboga pamoja na mafuta ya kupikia yanayopunguza nguvu za kiume.

Mbogamboga pamoja na mafuta ya kupikia yanayopunguza nguvu za kiume.

Curious Naturally

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
528
Reaction score
523
Wapendwa,
Kuna tetesi zipo sana mkoani Arusha kuwa mafuta ya kupikia aina ya Korie, na pia mboga za majani aina ya Chaines (wengine wanaziita Chinese) hupunguza nguvu za kiume, na ndio maana hata ukipita kwenye migahawa, hawauzagi mboga hizo sababu hawatapata wateja.
Naomba kufahamu ukweli jamani, angalau pressure ipungue kidogo,
 
acha presha...... kikombe cha loliondo ndo sumu
 
Matumizi ya Mitandao ya mawasiliano kama internet yanapunguza nguv zakiume zaidi kuliko hizo Chinese au Korie!
 
duuuuh! Mbona hatare nyingine tena!

Sio kweli, mbogamboga ikiwemo chinizi ni rafeji nzuri ktk mfumo wa mmeng'engo wa chakula. Mboga hzo zcpooshwa na kupkwa vzur huleta shida ya tumbo haswa magonjwa ya tumbo pamoja na minyoo tumboni.
hata hvyo, mbogamboga kwa ujumla wake znapaswa kuliwa zkiwa zinechemshwa ili kupata virurubisho vya kutosha toka ktk mboga hzo.
Upande wa korie, ni kama mafuta menfine ya viwandani, huwa yana kiwango kikubwa cha kolestrole, kitu kinachosababisha damu kutotembea vzur ktk mishipa hvyo huathiri usimamaji mzuri wa uumey. Wataalamu wanashauri wanaume hata kwa wanawake nawatoto kuepuka matumizi makubwa ya mafuta ya viwandani ktk mapishi. Pamoja na hilo wanashauri mazoezi ya mara kqa mara haswa nyakati za aaubuhi kwani husaidia mwili kujipanga wenyewe vzuri dhidi ya matatizo mbalimbali ikiwemo kiwango cha kolesteol ktk mishipa.
 
duuuuh! Mbona hatare nyingine tena!

Sio kweli, mbogamboga ikiwemo chinizi ni rafeji nzuri ktk mfumo wa mmeng'engo wa chakula. Mboga hzo zcpooshwa na kupkwa vzur huleta shida ya tumbo haswa magonjwa ya tumbo pamoja na minyoo tumboni.
hata hvyo, mbogamboga kwa ujumla wake znapaswa kuliwa zkiwa zinechemshwa ili kupata virurubisho vya kutosha toka ktk mboga hzo.
Upande wa korie, ni kama mafuta menfine ya viwandani, huwa yana kiwango kikubwa cha kolestrole, kitu kinachosababisha damu kutotembea vzur ktk mishipa hvyo huathiri usimamaji mzuri wa uumey. Wataalamu wanashauri wanaume hata kwa wanawake nawatoto kuepuka matumizi makubwa ya mafuta ya viwandani ktk mapishi. Pamoja na hilo wanashauri mazoezi ya mara kqa mara haswa nyakati za asubuhi kwani husaidia mwili kujipanga wenyewe vzuri dhidi ya matatizo mbalimbali ikiwemo kiwango cha kolesteol ktk mishipa.
 
Sio kweli, mbogamboga ikiwemo chinizi ni rafeji nzuri ktk mfumo wa mmeng'engo wa chakula. Mboga hzo zcpooshwa na kupkwa vzur huleta shida ya tumbo haswa magonjwa ya tumbo pamoja na minyoo tumboni.
hata hvyo, mbogamboga kwa ujumla wake znapaswa kuliwa zkiwa zinechemshwa ili kupata virurubisho vya kutosha toka ktk mboga hzo.
Upande wa korie, ni kama mafuta menfine ya viwandani, huwa yana kiwango kikubwa cha kolestrole, kitu kinachosababisha damu kutotembea vzur ktk mishipa hvyo huathiri usimamaji mzuri wa uumey. Wataalamu wanashauri wanaume hata kwa wanawake nawatoto kuepuka matumizi makubwa ya mafuta ya viwandani ktk mapishi. Pamoja na hilo wanashauri mazoezi ya mara kqa mara haswa nyakati za asubuhi kwani husaidia mwili kujipanga wenyewe vzuri dhidi ya matatizo mbalimbali ikiwemo kiwango cha kolesteol ktk mishipa.
Noted
 
Back
Top Bottom