Mbogo Maji Ihefu waipania Simba Jumatatu ya Pasaka

Mbogo Maji Ihefu waipania Simba Jumatatu ya Pasaka

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Ihefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.

Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.

Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
 
Ihefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.

Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.

Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
Wao wamefanya biashara yao jana pale kwa mkapa sasa kama walipewa bahasha ndogo watulie wakakandwe tena wasituletee maigizo hapa
 
Ihefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.

Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.

Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
Walipe kisasi gani wakati tumeshawatoa mashindanoni? Huyo J3 tunawapiga kama ngoma,midomo yao ndiyo imewaponza kipigo cha jana kama hawajakoma J3 tunaenda kuwadhalilisha.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ihefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.

Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.

Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
hawana akili
 
Back
Top Bottom