Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wao wamefanya biashara yao jana pale kwa mkapa sasa kama walipewa bahasha ndogo watulie wakakandwe tena wasituletee maigizo hapaIhefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.
Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.
Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
Walipe kisasi gani wakati tumeshawatoa mashindanoni? Huyo J3 tunawapiga kama ngoma,midomo yao ndiyo imewaponza kipigo cha jana kama hawajakoma J3 tunaenda kuwadhalilisha.Ihefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.
Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.
Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
Na nyie mliwauzia walivyokufokoeni? Wewe subiri kifafa cha mimba mwaka huu kwa kuichukia SimbaTunafahamu jana waliuza mechi. Ngoja tuone kwenye hiyo mechi ijayo, kama watauza tena.
Unapofikiri kwa kutumia tako ndiyo mawazo km haya yanakujia.Tunafahamu jana waliuza mechi. Ngoja tuone kwenye hiyo mechi ijayo, kama watauza tena.
Wakati wanakutoa bikra walikuhonga sh ngapi vile?Tunafahamu jana waliuza mechi. Ngoja tuone kwenye hiyo mechi ijayo, kama watauza tena.
hawana akiliIhefu maarufu kama Mbogo Maji wamekula za uso 5 kwa 1 jana usiku ktk mchezo wa robo fainal ya kombe la azam, hata hivyo Mbogo Maji imetamba kulipiza kisasi katk mchezo wa marudiano wa ligi ya NBC uliopangwa kupigwa cku ya j3, yaan keshokutwa.
Mbogo Maji wamepost kwenye ukurasa wao wa insta kwa kusema kulipa kisasi ni haki yaani Al Qisas Haqu.
Ngoja tuone kama Mbogo Maji wataweza maana wamewabikiri Yanga na kuwafunga Azam.
Yaani utopolo mliweka kabisa matumaini kwa Ihefu? Yaani na bado mnaendelea kuweka matumaini?Tunafahamu jana waliuza mechi. Ngoja tuone kwenye hiyo mechi ijayo, kama watauza tena.