Mbolea asilia au mboji (compost)

Mbolea asilia au mboji (compost)

taikuny

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,207
Reaction score
715
Wakulima na wafugaji
Nafanya jaribio la kutengeza mbolea asili au mboji. Kwa kutumia majani niliyojaza apo kwenye karo

Nitaweka
Mbolea ya ng'ommbe au mbolea ya mbuzi /kuku/bguruwe/popo n.k

Nitaweka
Majani mabichi ya miti kama milonge mrusina mikunde poli

Nitaweka
Udongo mwesi

Mwisho na fukia kwa mpangilia na kuiacha kwa siku 30 nataraji kupata tan 10 /15 za mbolea ya mboji inafaa kwa mazao yote

Karibu shamba

20230125_070905.jpg
 
Usifanye majaribio fanya ni mbolea poa saana ila hapo ulipoweka majani naona kuna chupa safisha kabisa kwani hayo machupa sio poa kwabisa ntakutumia link video ulearn namna ya kufanya kwa mafanikio.
 
Usifanye majaribio fanya ni mbolea poa saana ila hapo ulipoweka majani naona kuna chupa safisha kabisa kwani hayo machupa sio poa kwabisa ntakutumia link video ulearn namna ya kufanya kwa mafanikio.
[emoji106] safi mkuu nashukuru. Apo niliagiza vijana wajaze manyasi kama miez 2 nyuma lakin nishaondoa chupa zote na nailon jaribio lakwanza nilifanya na kutumia ilikua poa sana
20230125_072421.jpg
 
Usifanye majaribio fanya ni mbolea poa saana ila hapo ulipoweka majani naona kuna chupa safisha kabisa kwani hayo machupa sio poa kwabisa ntakutumia link video ulearn namna ya kufanya kwa mafanikio.
Sasa naandaa ya kutosho nifanye jambo maana natumi umwagiriaji. Malengo yangu tutotumia chemical nataka oganic tu
20230125_072512.jpg
 
Hii mbolea ni nzuri sana akipatikana mtu anaitengeneza kwa wingi then anauza vifusi vyake kwa wakulima especially wa mboga mboga.

Inasaidia sana kulinda udongo.
 
Back
Top Bottom