Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Moja ya changamoto inayowasumbua wakulima wadogo, kati na wakubwa ni upatikanaji wa mbolea bora. Lakini bado hata zile zinazotumika kwa wingi ni zile ambazo mazao yanayopatikana kutokana nazo hayana ubora kimataifa.
Ipo haja ya kuanza kuzalisha mbolea bora za asili kutokana na mimea + wanyama ...
Ebu tumia bando lako vizuri angalia mbolea inayotengenezwa kutokana na mmea wa comfrey. Mbolea hiyo ni bora sana na utengenezaji wake ni rahisi pia. Ingia google andika Grow Your Own Fertilizer Using Comfrey ....
Kwa maelezo zaidi iwapo utakumbana na changamoto / kizingiti tuonane inbox au pia simu / tuma ujumbe / whatsapp me kwa +255 655 533 543
Ipo haja ya kuanza kuzalisha mbolea bora za asili kutokana na mimea + wanyama ...
Ebu tumia bando lako vizuri angalia mbolea inayotengenezwa kutokana na mmea wa comfrey. Mbolea hiyo ni bora sana na utengenezaji wake ni rahisi pia. Ingia google andika Grow Your Own Fertilizer Using Comfrey ....
Kwa maelezo zaidi iwapo utakumbana na changamoto / kizingiti tuonane inbox au pia simu / tuma ujumbe / whatsapp me kwa +255 655 533 543