Asante mkuu ngoja safari hii nitumie DAP pekee ukizingatia mbolea zenyewe sasahiv bei zipo juu
Nimekupata vyema mkuu.Mkuu kwa viazi mvringo kama unataka matokeo mazuri ni vema uendelee kuchanganya DAP+CAN.
Dap- inafanya vema sana kwenye mazao upande kwa kupandia
Urea- inafanya vema sana kukuzia
Can- inafanya kazi ya kuzalishia
Kwa hiyo ili viazi vizae vema na kuwa vikubwa vinahitaji CAN ndo maana wenyeji wako ambao kimsingi ndo wataalam no.1 wa Kilimo wamekuwa wakifanya hivyo. Amini usiamini mkulima ndiye mtaalam wa kwanza wa Kilimo.
nenda TARI uyoleShukrani sana mkuu ..
Je unaweza kunisaidia niwapi naweza kupata huduna hiyo yakupima udongo kwa Nyanda za juu kusini hususani Mbeya
Kijana mie sio wa kotaz heshimu watu humu hatufahamiani. Tuna maisha na tumeajiri watu ujue.Wazee wa kotaz mnavikuta kwenye freezer tu wazazi wamenunua nyie kazi moja tu - kula.
WMkuu kwa viazi mvringo kama unataka matokeo mazuri ni vema uendelee kuchanganya DAP+CAN.
Dap- inafanya vema sana kwenye mazao upande kwa kupandia
Urea- inafanya vema sana kukuzia
Can- inafanya kazi ya kuzalishia
Kwa hiyo ili viazi vizae vema na kuwa vikubwa vinahitaji CAN ndo maana wenyeji wako ambao kimsingi ndo wataalam no.1 wa Kilimo wamekuwa wakifanya hivyo. Amini usiamini mkulima ndiye mtaalam wa kwanza wa Kilimo.
Sio kweli.mbolea za kupandia ni DAP,NPK,MOP,Minjingu,na nyingine zenye ingredient za phosphorus.DAP ni ya kupandia, NPK ya kukuzia. kwenye NPK nitrogen ni specifically kwa kuboresha ukuaji wa majani hizo phosphorus na kalium zote zinahitajika kwenye kusaidia mimea iote vizuri from seeds to seedlings
Naam.NPK ni complete fertilizer hivyo basi ina virutubisho vyote NITROGEN, PHOSPHORUS and POTASSIUM. Basi kwa vigezo hivyo anaweza kuitumia kwa namna yoyote ilimradi kuzingatia asilimia za mbolea husika.
Mbolea ipi ni nzuri kwa kupandia mahindi. Na kwanini iwe X na sio Y
Samadi tu inatoshs au mbolea za kwenye majani au mfumo wa maji maji zina NPK ambayo N ni kubwa kwa kuamsha mfumo wa mmeaMiti ya matunda iliyodumaa ikiwa shambani, ambayo inashindwa kukua kwa kasi sawa na mingine naweza kuweka pia mbolea ya kiwandani kuikuza?
Ina virutubishi awali ambavyo ni NPK na hutoa taratibu saba hayo madini na hukaa kwa muda mrefu sana bila kuleta madhara.SAMADI kwani ina virutubisho vyote!
NPK ndiyo mbolea nzuri zaidi kwasababu ni Complete fertilizer,ina Nitrogen,Phosphorus na Potassium.Lakini pamoja na hayo ni muhimu kupima udongo wa shamba lako maabara ili kujua mahitaji sahihi ya shamba lako.Kusema tu kuwa tumia NPK bila upimaji wa udongo,hiyo ni blank recommendations,it's very local not scientific and technical.Mbolea ipi ni nzuri kwa kupandia mahindi. Na kwanini iwe X na sio Y