Mbolea ipi nzuri kupandia mazao Kanda ya Kati?

Luushu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
816
Reaction score
477
Ndugu zangu naomba ushauri kwenu maana mimi sasa nashindwa nitumie mbolea ipi. Kwa kifupi mwaka juzi nilitumia Dap ilinipa matokeo mazuri, mwaka jani nikaambiwa Yaraceitirio nikatumia sikupata mafanikio mazuri ingawa na mvua ilikuwa changamoto.

Sasa msimu umeanza ndio nataka kuingiza trekta sasa sijajua nitumie mbolea ipi kwa kupandia huku Kanda ya Kati kuna Cap, Yara Otesha,Yara Mila, Yara Ceitrio, Yara Java nk.

Mbegu natumia Zamseed.
 
Si umesema ulipotumia DAP ulipata matokeo mazuri sasa kwanini usiendelee kutumia hiyo hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…