Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Leo nilienda kujiandikisha ili na mimi niwekatika ule mpango wa mbolea hiyo ya RUZUKU
Maajabu afisa mtendaji akaniambia mimi sistahili kuwa katika mpango huo kwani najiweza sababu namiliki ekari 20
Hivyo waliolengwa ni wale wanaomiliki ekari 3 kushuka chini
Swali langu kwa Waziri wa Kilimo, je Ni nani mwenye vigezo vya kupata mbolea hii?
Hii imetokea Kijiji cha Mhukuru, Songea
Maajabu afisa mtendaji akaniambia mimi sistahili kuwa katika mpango huo kwani najiweza sababu namiliki ekari 20
Hivyo waliolengwa ni wale wanaomiliki ekari 3 kushuka chini
Swali langu kwa Waziri wa Kilimo, je Ni nani mwenye vigezo vya kupata mbolea hii?
Hii imetokea Kijiji cha Mhukuru, Songea