Mbolea za Ruzuku wapewe JKT kusambaza

Mbolea za Ruzuku wapewe JKT kusambaza

lake Ngonsi

Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
13
Reaction score
48
Taarifa ya habari Leo kwenye vyombo mbalimbali waziri wa kilimo amesema msimu huu kulikuwa na changamoto ya usambazaji wa mbolea.

Hivyo, msimu ujao watawatumia/watatumia vyama vya ushirika. Ni jambo jema kabisa.

Mimi nilikuwa ninawaza hivi hawawezi kuwatumia JKT?

JKT inahusika na Shughuli za kilimo na huku makambi yake yametawanyika nchi nzima....Kama njia ya kutumia mashirika ikija kuwa na changamoto zaidi, basi waone namna ya kurahisisha ili JKT wawe wanafanya kazi hiyo.

Good luck Kilimo Tanzania
 
Daah aisee hii kitu imekuwa shida mnooo, sisi tunalima huku Turiani, Morogoro, tumepanda mazao tokea December mpaka sasa hakuna hata dalili ya hizo mbolea. Watu wamepanda bila mbolea na wataanza palizi na kumaliza bila mbolea maana hata dalili hakuna.
 
Back
Top Bottom