labda hukusoma vizuri hiyo thread ndg,nimesema hv,2lipeana namba za simu,then after work 2likuwa njia 1 coz mi naishi si mbali sana na ofisini ila ndio the easiest way ya yeye kufika bus stop that is why I led her that way na sikumualika baada ya kufika kwangu nilimpa maelekezo hadi kituoni ila nikamwambia karibu hapa ndio napoishi nae hakuwa na hiyana kujibu ahsante na kukubali karibu yangu.
mind u I neva insisted.