Mbona CCM wanaanza kampeni mapema, tena wanapigiwa na wakuu wa mikoa na wilaya? Huu ubaguzi unajenga chuki na chanzo cha kulipiza kisasi

Mbona CCM wanaanza kampeni mapema, tena wanapigiwa na wakuu wa mikoa na wilaya? Huu ubaguzi unajenga chuki na chanzo cha kulipiza kisasi

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri.

Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi hapa nchini.

Hali hii ya ubaguzi imeanzia kwa mwenyekiti wa CCM hasa kwa wapinzani na inafika mahali haoni hata aibu kuuliza kiongozi wa hapa ni chama gani? Yaani nchi hii haki inapatikana kwa kuwa chama flani kama sio hvyo unaambiwa ulikosea kuchagua ndio matunda yake.

Kiongozi kama mbunge au diwani kazi yake ni kuwasilisha hoja na mrekelezaji ni serikali ndio wakusanya kodi na ndio watekelezaji.

Ila ninachokiona mwisho wa siku watu watalipiza kisasi kwa kuonewa kwa muda mrefu na naona kuna watu wanataka tufike huko.
 
CCM hawajiamini. Wamezuia wenzao miaka mitano na bado hawakubaliki. Yaani Magufuki ana kubalika yeye kama yeye na sio kwamba CCM ina kubalika. Ukitaka kuamini angalia hata sasa wanavyo toa rushwa kusaka madaraka. Huwezi tenganisha CCM na rushwa
 
Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri.

Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi hapa nchini.

Hali hii ya ubaguzi imeanzia kwa mwenyekiti wa CCM hasa kwa wapinzani na inafika mahali haoni hata aibu kuuliza kiongozi wa hapa ni chama gani? Yaani nchi hii haki inapatikana kwa kuwa chama flani kama sio hvyo unaambiwa ulikosea kuchagua ndio matunda yake.

Kiongozi kama mbunge au diwani kazi yake ni kuwasilisha hoja na mrekelezaji ni serikali ndio wakusanya kodi na ndio watekelezaji.

Ila ninachokiona mwisho wa siku watu watalipiza kisasi kwa kuonewa kwa muda mrefu na naona kuna watu wanataka tufike huko.
Mbona Nyalandu anafanya kampeni kila siku bwashee!
 
Mi
Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri.

Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi hapa nchini.

Hali hii ya ubaguzi imeanzia kwa mwenyekiti wa CCM hasa kwa wapinzani na inafika mahali haoni hata aibu kuuliza kiongozi wa hapa ni chama gani? Yaani nchi hii haki inapatikana kwa kuwa chama flani kama sio hvyo unaambiwa ulikosea kuchagua ndio matunda yake.

Kiongozi kama mbunge au diwani kazi yake ni kuwasilisha hoja na mrekelezaji ni serikali ndio wakusanya kodi na ndio watekelezaji.

Ila ninachokiona mwisho wa siku watu watalipiza kisasi kwa kuonewa kwa muda mrefu na naona kuna watu wanataka tufike huko.
Mimi Wala simung'unyi maneno.....
NI ujinga kwa VYAMA mbadala kujifananisha na CCM....

Ni ujinga Sana kuleta mlinganisho wa HATUA za siasa za KILIBERALI na ukazifungaminisha na CCM ama ukataka VYAMA mbadala viwe mizania ya chama hiki kikongwe....

HEBU SHANGAA HAYA;

1.Ujamaa alioasisi mwalimu nyerere na kuwa nguzo ya CCM haufanani na ujamaa mwingine WOWOTE DUNIANI.Wenyewe unaitwa UJAMAA WA KIAFRIKA.

2.Rais wa nchi yetu ndiye mwenyekiti wetu wa chama.Kule kwa waliberali mpendapo siasa zao,hili Wala HAKUNA.

3.Falsafa za CCM ndizo zilizoisukuma Tanzania izisaidie kimkakati ikiwemo mafunzo,raslimali watu,fedha na silaha nyingi ya nchi za kiafrika KUJIKOMBOA.Hayo huoni kwa nchi zote barani afrika pengine hata na huko mbali.

4.UGONJWA WA CORONA.Serikali ya CCM Tanzania ilichukua njia TOFAUTI na ZISIZOFANANA DHIDI YA HIYO PANDEMIC na zimeonesha mafanikio makubwa.

NI MENGI NI MENGI sana ya KUSHANGAA...
Yote ni kwa kuwa NI ilani ya CCM pekee katika katiba yenye maneno tunduizi na ADHIMU Kama haya(ACT imeyaiga);
1.Binadamu wote NI sawa,
2.Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake,
3.UJAMAA na KUJITEGEMEA NDIYO njia sahihi ya kujenga jamii ilio sawa na huru(AFANYAYO magufuli).

Think thrice
 
Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri.

Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi hapa nchini.

Hali hii ya ubaguzi imeanzia kwa mwenyekiti wa CCM hasa kwa wapinzani na inafika mahali haoni hata aibu kuuliza kiongozi wa hapa ni chama gani? Yaani nchi hii haki inapatikana kwa kuwa chama flani kama sio hvyo unaambiwa ulikosea kuchagua ndio matunda yake.

Kiongozi kama mbunge au diwani kazi yake ni kuwasilisha hoja na mrekelezaji ni serikali ndio wakusanya kodi na ndio watekelezaji.

Ila ninachokiona mwisho wa siku watu watalipiza kisasi kwa kuonewa kwa muda mrefu na naona kuna watu wanataka tufike huko.
Kesho mh mkuu wa mkoa wa dar (yule msiempenda)tutakuwa nae kwenye mradi wa barabara ya juu ubungo (ubungoflyover)tutakiwa tunakagua miradi unaendeleaje karibuni sana.
 
Kesho mh mkuu wa mkoa wa dar (yule msiempenda)tutakuwa nae kwenye mradi wa barabara ya juu ubungo (ubungoflyover)tutakiwa tunakagua miradi unaendeleaje karibuni sana.
Mchana huu kaunguruma sana,katuambia ule mpango wa CCM alipokataa mh.John Mnyika...
Ule mpango wa;
1.Kujenga kilomita 111 za barabara wilayani ubungo.
2.Kujenga kilomita 40 za mitaro ya mito inayanayotirika wilayani humo.

CCM raha
 
Mchana huu kaunguruma sana,katuambia ule mpango wa CCM alipokataa mh.John Mnyika...
Ule mpango wa;
1.Kujenga kilomita 111 za barabara wilayani ubungo.
2.Kujenga kilomita 40 za mitaro ya mito inayanayotirika wilayani humo.

CCM raha
Kidumu chama cha mapinduzi
 
Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri.

Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi hapa nchini.

Hali hii ya ubaguzi imeanzia kwa mwenyekiti wa CCM hasa kwa wapinzani na inafika mahali haoni hata aibu kuuliza kiongozi wa hapa ni chama gani? Yaani nchi hii haki inapatikana kwa kuwa chama flani kama sio hvyo unaambiwa ulikosea kuchagua ndio matunda yake.

Kiongozi kama mbunge au diwani kazi yake ni kuwasilisha hoja na mrekelezaji ni serikali ndio wakusanya kodi na ndio watekelezaji.

Ila ninachokiona mwisho wa siku watu watalipiza kisasi kwa kuonewa kwa muda mrefu na naona kuna watu wanataka tufike huko.
 
Huu ubaguzi unaofanywa na tume ya uchaguzi na wahusika wake wanaojiita serikali ya CCM mwisho wake sio mzuri.

Kiukweli, hata mnaposikia magaidi hawakuamka na wakawa magaidi bali ni kuminywa na kunyimwa haki katika nchi zao mwisho wa siku ndio bora tukose wote. Hii naona hali inajengeka kwa kasi hapa nchini.

Hali hii ya ubaguzi imeanzia kwa mwenyekiti wa CCM hasa kwa wapinzani na inafika mahali haoni hata aibu kuuliza kiongozi wa hapa ni chama gani? Yaani nchi hii haki inapatikana kwa kuwa chama flani kama sio hvyo unaambiwa ulikosea kuchagua ndio matunda yake.

Kiongozi kama mbunge au diwani kazi yake ni kuwasilisha hoja na mrekelezaji ni serikali ndio wakusanya kodi na ndio watekelezaji.

Ila ninachokiona mwisho wa siku watu watalipiza kisasi kwa kuonewa kwa muda mrefu na naona kuna watu wanataka tufike huko.
Utawala wa ki-mabavu ndivyo ulivyo, wanajimaliza wenyewe.
 
Back
Top Bottom