Poa kiongozi. Umeadimika kama mlango wa bodaboda...Ha haa haaa umeona nikiwa ujayani!
Habari ya siku tele mkuu?
ShemuMtoa mada hivi wewe hukuwa na couple humu?
keNakujaaaaaa..... Ila useme kabisa kama ni ke au me nijiandae akodingile
Kipindi cha mvua hiki, bodaboda zina maturubaiPoa kiongozi. Umeadimika kama mlango wa bodaboda...
mje woteeeSwaafii nakujaa, ila nikukute without..
CC: Asprin
H@ ha ha mkuu kizuri kula na nduguyo banaaaNdugu yangu utafungwa. Mwanafunzi huyo...
Usije ukasema sijakuonya....H@ ha ha mkuu kizuri kula na nduguyo banaaa
Nakuja peke yangu leo, yeye keshoo..mje woteee
ukimaliza uje na huku
STORY: KUTEGA - SEDUCTION
Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....
Nimekubali onyo:Usije ukasema sijakuonya....
[emoji23] [emoji23] Umesahau ujumbe huo umeletwa kwa msaada wa Chibuku mikisa makata bureki.
Hahahahaaaa hii ni kali aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Owukee, tumeshahamia Geneva, nakualika kwa dhati kabisa, my waifu wangu janeth1 amekwenda shoping mara moja hapo Paris, niko nacheza na farasi wangu mweupe, wale wengine wanapumzika.Hahahahaaaa hii ni kali aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah hahahahaaa mkuu unawafaham sana hawa wanduguOwukee, tumeshahamia Geneva, nakualika kwa dhati kabisa, my waifu wangu janeth1 amekwenda shoping mara moja hapo Paris, niko nacheza na farasi wangu mweupe, wale wengine wanapumzika.
Vipi nikutumie tiket ya KLM, Emirates, KQ au iletwe private jet na rubani wangu wa 7 aliyesomea Roma?