Mbona Diamond hajapost show ya uwanjani ya Mayote?

Mbona ka post video fupi nying tu, au kuna Diamond wangap?
 
Tatizo la kiufundi lilitokea? Kwenye camera Au? Eti Tatizo likitatuliwa picha zitatumwa....? WTF

Give us a break
Mbona video zipo nying tu kwenye page yake insta.. au wako Diamond wawil?
 
Sijaona jibu,zaidi ya mipasho tu. Na mimi na mipasho ni tofauti.
 
Watu bhana... mkiona nyomi mtabadilisha santuri na kusema watu walinunuliwa na kuchukuliwa kwa mitumbwi toka Msumbiji hadi Mayotte!!!
 
Give yourself a break, nini tatizo kwani? Mambo uyafatilie mwenyewe afu uombe kupewa break. SMH.
mmeshindwa kujaza uwanja mmeogopa kutupia picha kama ilivyo Ada yenu, Eti Tatizo la kiufundi....
 
Mbona video zipo nying tu kwenye page yake insta.. au wako Diamond wawil?
Ile ilikuwa show ya ukumbini, kwa mujibu wa Ratiba yake ilikuwa apige show ya uwanjani kesho yake.

Ndio hizo picha hatuzioni
 
Ile ilikuwa show ya ukumbini, kwa mujibu wa Ratiba yake ilikuwa apige show ya uwanjani kesho yake.

Ndio hizo picha hatuzioni
Aiseeee watu mna hasira utafikiri ni lazima kupost
 
Nenda instagram page yake utaikuta ina zaidi ya siku 7
 
Simple Mathematics! Kama show ya VIP walikuwa wengi vile je hali ya mtu itakuwaje?
 
Mnh Dem Boy?
 
Hii inaonyesha ni kwa kiasi gani mnamfuatilia huyu jamaa,KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILITOKEA NDIO MAANA HAKUJAWA NA MAPICHA PICHA,LAKINI PINDI TATIZO LIKITATULIWA ZITATUPIWA KAMA KAWA. Na hiyo shoo ni katika shoo ambazo ALIJAZA SANA HAIKUPATA KUTOKEA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…