Viongozi wa vyama mbali mbali na serikali pamoja na wasanii mbalimbali walijitokeza kweny hafla ya kumuuga KAMANDA mbona Dr shika hakuonekana au nae alikuwa na bifu na marehemu
Kwa hiyo jamaa anapenda tisa tisa tu! Maana kule alisema mia tisa sasa na huku saa tisa. Mbona yule mwenzake mamaaa nakufaaa alikuwepo au yeye hakualikwa 😁