labda anakuona pochi alolo ndo mana hakuombi maana anajua asije akalianzisha halafu wewe ukaendelezaZinduka wewe huyo mpenzi wako ana kazi au shughuli yoyote inayomwingizia kipato?
Je! anaishi kwake au kwa wazazi au ndugu?
Kama ana kipato cha ziada hapo sawa hana shida na visenti vyako anauhitaji muhogo wako zaidi.
Kama hana kazi yoyote basi shituka kuna mtu anamtimizia mahitaji kwako yuko kimapenzi zaidi, labda yule alienae hampi shughuli pevu hivyo anaipata kwako.Tafakari Chukua Hatua.
My well being is my responsibility. I pay my dues, thats how mama taught me. Then why would i ask anything from you while i can take care of myself huh? Acheni ushamba wanaume mkipendwa for who you are mnataka mpendwe for what you are, mkipendwa for what you have mnataka mpendwe for who you are, whats wrong witchu creatures!
huyo ndo mwanamke kamatilia hapo hapo ukimwachia shauri yako
@mtukwaoJamani ndugu zangu ni mpenzi wangu ambaye tangia tuanze kujuana takriban miaka miwili sasa hajawa kuniomba kitu chochote hata vocha mpaka hvi sasa tunaplan ya kustart tht new life.na mimi mwenyewe sijawahi kumpa chochote kotelia mbali hata kama hajaniomba.je hapa pana tatizo katika maisha ya mahusiano?
mamii hawajui wanataka nini, wengi wapo wapo tu, ukimpenda anadhani umependa walet yake, na ukipenda walet yake anaanza kupiga mayowe ati anaibiwa
Aisee jiangalie kijana ubahili huo utakugharimu...mwanamke awe vyovyote alivyo,hata kama akijitosheleza vipi lakini anahitaji kujisikia kuna mtu anamjali hasa hasa akiwa mpenzi wake,jamani hata zawadi ya leso inakushinda???ningekuwa mimi ningeshakutema siku nyingi sana ingebaki historia,halafu ujue manaume ukiwa bahili hata mvuto unapoteza.