Mbona hapati Mp

concrete15

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
882
Reaction score
323
Naombeni msaada demu wangu week ya pili sasa no sign of biological salary nshampima hana mimba wiki mbili ni kawaida hii or what cause.
 
Alafu achakumuita mpenzi wako demu sawaee!!
Saa nyingine kunamambo yanayo changia kupitliza tarehe za hedhi
  • Kuwa na mawazo(stress)
  • Kubadilisha hali ya hewa(Mazingira)
  • Ujali wa chakula(vyakula anavyo kula vinaweza sababisha pia)
  • Matumizi ya madawa mara kwa mara(Medical treatment)
  • Kuwa na uzito kuzidi kiasi
  • pia kupungua uzito kupita kiasi
  • Maradhi(Kuugua mara kwa mara au maradhi ya muda mrefu) Cc MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Yakishawashinda mnakimbilia huku, yaani kweli ulishindwa kumuuliza uje kutuuliza sisi huku? Soma kilichoandikwa hapo juu
 
Thanks so so much mafikizolo I get what I want there about demu or manzi or mpenzi achana nayo
 
Mi nikadhani unamtafuta MP "military police"
 
Umemaliza kila kitu wewe sina la kusema mimi.
 

Asante na sie wengine tunanufaikamo humohumo....mimi pia nna tatizo kwenye hyo sekta (naliita tatizo kwa kwa sababu naona si kawaida). Nna mzunguko mrefu sana....naweza kwenda siku 35 hadi 40 na mimi najua kawaida ni siku 28 hadi 30
 
Last edited by a moderator:
Duh una rahaa..me nina mzunguko mfupi hadi shida...yani ni 23 hadi 26....

Nilikasirika mwezi wa Ramadhan nliingia period mara mbili....

Hivi ni raha eeh? mi nlijua hivyo ila kuna mtu alinitishajeee?
 
Asante na sie wengine tunanufaikamo humohumo....mimi pia nna tatizo kwenye hyo sekta (naliita tatizo kwa kwa sababu naona si kawaida). Nna mzunguko mrefu sana....naweza kwenda siku 35 hadi 40 na mimi najua kawaida ni siku 28 hadi 30

Hahaha Eti tunanufaikamo himohumo....hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…