Mbona hatuwasikii wazee wa Dar Es Salaam awamu hii ya sita?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Zamani awamu za nyuma, kulikuwa na wazee wa Dar es salaam.

Hawa mara kwa mara wangeweza kufanya vikao na mkuu wa nchi kuhusiana na mambo mbalimbali ya nchi.

Awamu iliyopita ni kama walipuuzwa na awamu hii ni kama wamesahaulika.

Je zama zao zimekwisha?
 
Hawana mpango nanyi kama ambavyo hawana mpango na vijana na wkulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…