IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 545
Ujue kila mahala,Mdude kawataja,kwenye hii kesi wanalalamikiwa,hatujui kuna wengine watakuja na kuwataja,Namuomba Mkuu wa Polisi Tanzania,ajaribu kuwapunguzia hawa mabwana majukumu,hawa ni binadamu,wana familia,watajengewa chuki na hao walio watesa nakufanyiwa visa.Swali hili nimejiuliza muda mrefu sana,
Na hili linaleta ukakasi kwenye hii kesi
Anyway,pengine ni mpango maalumu
Tanzania Bila Serikali inaweza kujitawala tu na mambo yakaenda ilmradi uwepo wa Mungu uendelee kutamalaki na mabeberu wasiache kutusaidia baas we will survive.Hivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Huo ndio utawala wa Siro. Polisi wamekosa credibility ya kuwa chombo cha kulinda raia na mali zao.Hivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi?
Hao ni Mashujaa, yaani Polisi ukisikia mtu anaitwa shujaa jua huyo ni katili aliye tayari kuumiza/kuua bila kujali utu.Hivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Hao nahisi ni kama vile vikosi maalum vya Bashite.Hivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Kama siro ndio kawatuma je utajuajeUjue kila mahala,Mdude kawataja,kwenye hii kesi wanalalamikiwa,hatujui kuna wengine watakuja na kuwataja,Namuomba Mkuu wa Polisi Tanzania,ajaribu kuwapunguzia hawa mabwana majukumu...
Hivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Hicho ni kikosi kazi cha CCMHivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Hatari sn na ndiyo walipofikiaHao ni Mashujaa, yaani Polisi ukisikia mtu anaitwa shujaa jua huyo ni katili aliye tayari kuumiza/kuua bila kujali utu.
Hii kesi ilipangwa na kusukwa kule moshi na kundi la jambazi sabaya akishirikiana na wahuni flani wakati wa mwendazake!Hivi Kingai, Godluck, Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata? Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.Je tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ? Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi?
Kama ulikuwa hujui hawa ndo Wale 'wasiojulikana'Hivi Kingai,Godluck,Mahita, D/C Msemwa, Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI,Hawa ni askari huru wa polisi wakuzunguka nchi nzima na kukamata?
Maana hata wakuu wa Vituo wanakowapeleka hao walio kamatwa hawana sauti.
Je, tuseme mikoa haijajitosheleza kuwa na askari wapelelezi ?
Mbona hawajamaa wanatamba nchi nzima.Imekaaje hii.Napata Kigugumizi.Na huo ukamataji ni wa kisheria au wao ndio wenye nchi ?
Siro ni mcha mungu hawezi kutuma mtu akafanyie wenzake ukatili,,umri wake aliyoyapitia hayamshawishi kuagiza kupiga,,,ila mmm,,nimesema tuKama siro ndio kawatuma je utajuaje