Hayo ndio maelekezo kwani ndio kozi ambazo bado zina nafasi, kumbuka kujaza mapema kwani kadiri unavyochelewa ndivyo zinazidi kupungua ikiwa zitajazwa mapema.
mliokwisha download hayo mjina tupieni huku kwani webu yao inasumbua sana,vipi kwenye profile inakuaje ugundue kuwa unaitaji kuaplai tena second round? MTUJUZE
mliokwisha download hayo mjina tupieni huku kwani webu yao inasumbua sana,vipi kwenye profile inakuaje ugundue kuwa unaitaji kuaplai tena second round? MTUJUZE
Nimemfanyia mshkaji wangu hapa asee hiyo kitu inauma kinyama,yani wameweka kozi zenye available slots pale uchague.Kama hakuna unayoifeel basi ndo ivo unachagua ivo ivo bila kupenda.Walioenda jkt hapa wataingizwa loss sana.