Kuwa na uzalendo haimaanishi kudanganya kuwa kitu kinavutia, ilhali unajua hakivutii.
Na og statehouse ya Tz inajengwa Dodoma, ngoja likamilike utaona, ubora tutawazidi zaidi. Hamna style nyinyi. Bora liende tu.That's a no-brainer.
Mtanzania tu ndiye anaweza dhani State House yao inavutia.
Uganda walipenda State House ya Nairobi sana, mpaka wakajenga State House identical huko Entebbe 2008.
Bado sindano tuu.Uzi tyr?
Si ndio state house yenu inafanana na dormitories za braeburn.Hahaha! 😀 Eti Braebun School, hivi unajua wamiliki wa mashule ya Braebun ni kina nani? Au wewe uliona tu Arusha Branch ukajua ni ya watanzania? Braebun Group of Schools zinamilikiwa na wakenya. The jokes on you! [emoji1]
Kama hosteli za D.I.T vileHiyo ikulu ya Kenya kama shule ya sekondari hivi
Hiyo ya Tanzania inakaa msikiti fulani hivi, nyie waarabu walishawameza.
One looks like the Greek Parthenon.
The other looks like an Arab mosque.
Ya bongo kama msikiti ya kenya iko vzr mtoa mada akili yako ina kimba kichwani
Hiyo ya TZ inakaa msikiti
Its called class, hiyo ya TZ inakaa jumba la Mosque
Hiyo ya chini nilidhani msikiti wa maka
Yani Danganyika ilijenga msikiti for a parliament...Waaah
Castle la kiarabu ....msikiti hilo.
Jumba bovu kishenzi.
Mbona hiyo statehouse ya Tanzania inafanana na Mosque ya Mariakani?
Imejengwa na governor mwingereza ndg. Horace byatt, 2019
Wewe na Wikipedia nani anaongea ukweli?
Wikipedia inasema jengo lilijengwa na British Governor Horace Byatt mwaka 1922.
Architect alikuwa John Sinclair.
View attachment 1109589
They partnered with Tanzanian in Tanzania for Arusha n Dar schools!Hahaha! 😀 Eti Braebun School, hivi unajua wamiliki wa mashule ya Braebun ni kina nani? Au wewe uliona tu Arusha Branch ukajua ni ya watanzania? Braebun Group of Schools zinamilikiwa na wakenya. The jokes on you! [emoji1]
Hilo jengo la bunge limesanifiwa kuiga nyumba za asili za watu wa Dodoma (tembe).Kweli. bunge lenu linakaa ukumbi wa uchawi na uganga. 😂 😂
Jumba ambalo na expect kuona Ghana, lakini sio East Africa.
Kenya's parliament was modeled a bit from Big Ben.
View attachment 1109541
Na og statehouse ya Tz inajengwa Dodoma, ngoja likamilike utaona, ubora tutawazidi zaidi. Hamna style nyinyi. Bora liende tu.
Kweli mkuu [emoji30][emoji30][emoji30]Mkuu umenisikitisha Sana. Ukumbi wa Bunge la Tanzania ni mzuri na wa gharama Mara elfu ya ule wa mabunge ya uingereza, lakini ndio Bunge lenye vilaza wengi kuliko mabunge yote duniani[emoji39][emoji16]
Hii Ni hostel banaIts called class, people.
Iyo yenu ni hostel mbona Au huoniYani Danganyika ilijenga msikiti for a parliament...Waaah
Ndio ivyo buda, gova inahamia dom, and a statehouse is under construction.Only a poor fool from a poor country would brag about a building a presidential palace in this day and age.
Dunia ilisonga.
Presidents and PMs of today are supposed to live humble lives.
Marais wa Europe wanapanda treni kila asubuhi kwenda ofisi, na wewe bongolala unafurahi rais kujenga palace mpya?
Mtatoka LDC lini?Ndio ivyo buda, gova inahamia dom, and a statehouse is under construction.
Likitengamaa dude tunakuja watambia.