Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe kila siku unaazisha nyuzi zaidi ya kumi kuihusu Chadema kwanini usiandike kuhusu ACT Wazalendo yako au CUF? Huoni kuwa unajipinga mwenyewe? Au na wewe ni mfu ndiyo maana unaandika habari za chama mfu? Tumia akili kufikiri badala ya kinyeo.Mbona imechokwa mapema, naona tangu uchaguzi umalizike hivi sasa zii.
Au ulikuwa moto wa vifuu?
Lema kaenda likizo?
Kula yake inategemea kuikandia CHADEMA.Mbona wewe kila siku unaazisha nyuzi zaidi ya kumi kuihusu Chadema kwanini usiandike kuhusu ACT Wazalendo yako au CUF? Huoni kuwa unajipinga mwenyewe? Au na wewe ni mfu ndiyo maana unaandika habari za chama mfu? Tumia akili kufikiri badala ya kinyeo.
Sawa sawa mweka hazina wa chama.Kuongoza chama cha upinzani sio lele mama, mpaka sasa hajalipa mishahara ya watumishi wa chama makao makuu
Ww mbona hujachoka kuanzisha nyuzi?Mbona imechokwa mapema, naona tangu uchaguzi umalizike hivi sasa zii.
Au ulikuwa moto wa vifuu?
Lema kaenda likizo?
Kama chama hakina pesa ya kulipa mishahara watu wa HQ basi kweli mbowe alikua hastaili kuendelea kuwa mwenyekitiKuongoza chama cha upinzani sio lele mama, mpaka sasa hajalipa mishahara ya watumishi wa chama makao makuu
Wajifungie.halafu wale nini chama hakina helaMbona mwenyekiti alisema wanaenda kujifungia ndani takribani wiki nzima
Mbowe Alikuwa anajua pesa atoe wapi za kulipa mishaharaKama chama hakina pesa ya kulipa mishahara watu wa HQ basi kweli mbowe alikua hastaili kuendelea kuwa mwenyekiti
Acha kutafuta kichaka. Chama umepewa ,Mbowe wa nini tena? LIpa mishahara bwana ebo!Kama chama hakina pesa ya kulipa mishahara watu wa HQ basi kweli mbowe alikua hastaili kuendelea kuwa mwenyekiti
Hivi wewe na chadema nani kaanza kuipaisha hapa.kama unawashwa ukisikia wapo kimya bila kutafuta kiki za wasaniiMbona imechokwa mapema, naona tangu uchaguzi umalizike hivi sasa zii.
Au ulikuwa moto wa vifuu?
Lema kaenda likizo?
😍🤩😍CHADEMA IKIPIGA MAYOWE MNAWEWESEKA.
CHADEMA IKIKAA KIMYA MNAWEWESEKA.
SHIDA NI NINI MKUU.
MUDA WA DAWA KUWAINGIA BADO MSIWE NA WASI
Lipa mishahara acha porojoKama chama hakina pesa ya kulipa mishahara watu wa HQ basi kweli mbowe alikua hastaili kuendelea kuwa mwenyekiti
Kama uvccm washalipana si inatosha? Mnawashwa nini na vya nyumba ya jirani?Mbowe Alikuwa anajua pesa atoe wapi za kulipa mishahara
Lisu hajui
Wakati wa Mbowe haikuwa shida kuwalipa
tulia wewe, CHADEMA iko activeMbona imechokwa mapema, naona tangu uchaguzi umalizike hivi sasa zii.
Au ulikuwa moto wa vifuu?
Lema kaenda likizo?