Mbona kama hapa kuna utata...

Pretty R.

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
200
Reaction score
31
Hivi jamani Amini na Linah wamerudiana, mbona mimi nashindwa kuwaelewa hawa wasanii wa bongo flavour? Wanaleta usanii mpaka kwenye mapenzi?
 
Kwani siku hizi hata wapenzi wananasiana? Au ni wezi wa wake za watu na wa waume za watu tu?
 
Linnah si alisema apata NJEMBA la USA? Au huko napo kaachika?

Mapenzi ya wasanii hayo hahahah
 
Hivi jamani Amini na Linah wamerudiana, mbona mimi nashindwa kuwaelewa hawa wasanii wa bongo flavour? Wanaleta usanii mpaka kwenye mapenzi?

hawa watakuwa wamerudiana maana siku ya bongo star search ilikuwa ni mahaba tuuu!
 
Ndo waimba kaswida wa msikiti gani hao?
 
Jamani wasanii wenu wa bongo flavour, au ninyi mnaishi nchi za nje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…