Mbona kama muda unakimbia sana eti imeshafika saa tisa mchana...

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Dah aisee huwezi amini yaani sasa hivi tu ilikua asubuhi kukakucha sa hivi nacheki saa ni saa tisa kasoro mchana

Mpendwa Mteja unakumbushwa kurejesha kiwango cha ziada cha SONGESHA ulichopewa. Kujua Kiwango cha deni lako piga *150*00# >Huduma za kifedha > SONGESHA > Salio
 
wadau wa mshahara utawafahamu tuuuu πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Acha kabisa mkuu.sasa hv Giza linaingia kesho ifike.siku ishaisha hii
kilichochangia mawingu haya yaliotanda hapa dar kwaio kuna giza faln hiv unahis kama bado asubuh alafu mtu huckii njaa kwaio huwez jua kama lunc imefika au laa kama uko kazin
 
Hata mimi ndio nashangaa juzi tu ilikua siku kusali jumuia nyumbani kwetu, na ajabu eti tayati leo ni jumatatu...[emoji849][emoji849]
 
Mbona hesabu zimebalance
Juzi jumamosi ilikuwa jumuiya nyumbani kwenu,jana jumapili leo jumatatu

Hakuna cha kushangaa hapo
Nashangaa kwasababu nililala only one night, and the rest nilikua bwibwax.....[emoji1787][emoji1787]
Ndiomaana nashangaa siku zinavyo kimbia babe...[emoji39][emoji39]
 
Nashangaa kwasababu nililala only one night, and the rest nilikua bwibwax.....[emoji1787][emoji1787]
Ndiomaana nashangaa siku zinavyo kimbia babe...[emoji39][emoji39]

Nilikuelewa babe wangu wa zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…