ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Acha kabisa mkuu.sasa hv Giza linaingia kesho ifike.siku ishaisha hiihahaha mkuu kumbe na ww umeliona hilo
Mkuu unatutisha sasa.haya mambo ya kufa we yasikie tu huezi amini tunaenda kufa soon as possibleSaa tisa bado haijafika.....
muda unapoenda inabidi tulie machozi...
manake makaburi ndio yanasogea...
kilichochangia mawingu haya yaliotanda hapa dar kwaio kuna giza faln hiv unahis kama bado asubuh alafu mtu huckii njaa kwaio huwez jua kama lunc imefika au laa kama uko kazinAcha kabisa mkuu.sasa hv Giza linaingia kesho ifike.siku ishaisha hii
Usijali ukifa unahamia dunia ingine unaendelea na life,ππroho huwa haipotei..Mkuu unatutisha sasa.haya mambo ya kufa we yasikie tu huezi amini tunaenda kufa soon as possible
Hata mimi ndio nashangaa juzi tu ilikua siku kusali jumuia nyumbani kwetu, na ajabu eti tayati leo ni jumatatu...[emoji849][emoji849]
Nashangaa kwasababu nililala only one night, and the rest nilikua bwibwax.....[emoji1787][emoji1787]Mbona hesabu zimebalance
Juzi jumamosi ilikuwa jumuiya nyumbani kwenu,jana jumapili leo jumatatu
Hakuna cha kushangaa hapo
Nashangaa kwasababu nililala only one night, and the rest nilikua bwibwax.....[emoji1787][emoji1787]
Ndiomaana nashangaa siku zinavyo kimbia babe...[emoji39][emoji39]