Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Shida nyinyi mnapenda kujipendekeza sana na kujishaua huku hamkualikwa na wala hamkulazimishwa kuja sasa kupewa nafas tu kwenye geto la msela unataka kujifanya kama vile we ndo mmiliki wa nyumba upumbavu wenu mpelekeane hukohuko kwenuJuu ya inferiority complex
Juu mnajua wakenya ndio wanaweza
"KENYA FORUM" hapa JF ndio inaleta profit .....sisi sio LDC wakenya wakitoka JF most of you wont have a reason to log in; JF will die
Jamii forums imejawa na watanzania na wakenyaNimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
Mkuu chagua kuandika kwa lugha moja kiswahili hama kiingereza. SijaelewaNimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
Why Tanzania?Nimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
Ukimaliza hapo unambie kwa nini magazeti ya Kenya siku hizi kila yakiandika habari yanailinganisha habari hiyo na hali ilivyo Tanzania!Nimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
Ninachokukubali ni kuwa huwa unatofautiana na baadhi ya wakenya wenzio kwa kusema ukweli, hata hivyo, umesahau jukwaa moja ambalo liko vibrant 24/7. hili hapa
And this is how we do!We are just obeying a God's command 'LOVE THY NEIGHBOR AS YOU LOVE YOURSELF '
Hupajui? Ukishapita kijiji chenu cha Kolomije, haitakuwa zaidi ya kilomita tano, si mbali sana.sorry hivi kenya huwa ni kijiji gani ?
Huku mpo kwenye forum ya wabongo........goigoi anaelewekaMtapata taabu sana nyie. Mbongo ni kiumbe dhaifu