Mbona kila kitu haraka, kuna nini Simba?

Ungeanza na mapendekezo kuwa labda yule hakutakiwa kukanwa, na pengine yule angetambulishwa baada ya muda gani au asingetambulishwa hadi msimu uishe, nk, vitu kama hivyo
 
Hao wanaojitoa ufahamu wanasahu aliyekua mwenyekiti wao kesi ya mihadarati wanamsahau Yusuph Manji aliyepimwa mkojo
Kwa hiyo Manji anakufanya uone NGADA za Simba ni sahihi..!?? KWa hiyo 34.89kg unaona ni sawa na mhadarati uliokutwa kwenye mkojo..!!! Kweli nyie ni mambumbumbu na mnastahili kuitwa NGADA FC
 
Hayo yote ni maisha binafsi ya mtuhumiwa na haina uhusiano na TAASISI.
 
Hakika umenena vyema,mie pamoja na kuwa mshbiki wa Simba lkn nmeshangazwa sana
 

Simba wanaviongozi wa ajabu. Na ndio maana wanaizamisha Simba kila siku. Wangekaa kimya na kuacha mambo yenyewe yajiseti, muda wote hawana kocha wa makipa, leo kakamatwa wanamkana na kuteua Hapo hapo, Kama ni mpelelezi utagundua Kuna kitu Hapo.
 

Simba imekuwa ya kijinga Sana. Yule mwanamke atoke pale aingie mwingine kazi imeshinda yeye anajua Simba Queens pekee yake.
 
Simba wanaviongozi wa ajabu. Na ndio maana wanaizamisha Simba kila siku. Wangekaa kimya na kuacha mambo yenyewe yajiseti, muda wote hawana kocha wa makipa, leo kakamatwa wanamkana na kuteua Hapo hapo, Kama ni mpelelezi utagundua Kuna kitu Hapo.
Pale akili ya mwanamke inapokua ndo mwamuzi wa mwisho ndo madhara yake hayo
 
kuna wauza unga wamejificha kwenye biashara hlli, anajifanya anauza spea za gari kumbe anapiga dili za kuuza dawa za kulevya, tunahitaji kikosi chetu kiwe na watu weledi na wadilifu katika kufanikisha operesheni hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…