zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Leo mbona JF imetulia sana yaani toka asubuhi sijaona thread mpya na wala sioni comments kwenye thread nilizosubscribe...
Kumbe kuna maisha nje Ya JF.
Kuna watu wanasolve Kesi za ndoa..
Wengine wanafikiria boss atasemaje kesho..
Wengine wanafikiria jinsi ya kumtokea mtoto mzuri.
Wengine wanafikiria kesho wavae nini?
Wengine wameachana na wapenzi wao.
Wengine kampeni zimenoga wanafatilia siasa sana kuliko vyote
Kumbe kuna maisha nje Ya JF.
Kuna watu wanasolve Kesi za ndoa..
Wengine wanafikiria boss atasemaje kesho..
Wengine wanafikiria jinsi ya kumtokea mtoto mzuri.
Wengine wanafikiria kesho wavae nini?
Wengine wameachana na wapenzi wao.
Wengine kampeni zimenoga wanafatilia siasa sana kuliko vyote