Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Ni kajiswali kakizushi tu! Naona kama kuna marupurupu fulani wanayoyakimbilia wanaume. Ingependeza zaidi endapo madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake wangekuwa wanawake wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada zetu wanataka kuwa Ma-First Lady, Ma-Miss, na kufanya kazi kwenye mabenki.
Na sasa limeshaongezeka la WABUNGE WA VITI MAALUM . . .
Utajisikiaje pale mkeo anapokusisitiza kwamba CPU ndio daktari mzuri wa kumtibu maradhi yake, mpole, msikivu, mkarimu, muelewa na anaijua kazi yake vizuri. Na akakushauri umpeleke kwa CPU akatibiwe tena???