Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Dada zetu wanataka kuwa Ma-First Lady, Ma-Miss, na kufanya kazi kwenye mabenki.
Na sasa limeshaongezeka la WABUNGE WA VITI MAALUM . . .
Utajisikiaje pale mkeo anapokusisitiza kwamba CPU ndio daktari mzuri wa kumtibu maradhi yake, mpole, msikivu, mkarimu, muelewa na anaijua kazi yake vizuri. Na akakushauri umpeleke kwa CPU akatibiwe tena???